GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo km zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni.(utopolo)

GSM ni.mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua..? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa.?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini. Dewj sio ms#ng#rema.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Umeandika kimkia zaidi
 
Huu Msimu KOLO FC mtateseka sana.Yaani mtateswa na vitu vingi sana🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo km zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni.(utopolo)

GSM ni.mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua..? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa.?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini. Dewj sio ms#ng#rema.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Mwanaume una andika kike
 
Mtu anazuka tu hata kuchangia 500 kwenye soka hawezi halafu anadharau udhamini wa bilioni 2? GSM ni wadhamini wa Yanga na siyo wamiliki wa Yanga, Azam ni Wadhamini wa Azam na wamiliki wa Azam Fc lakini hamkuwahi kulalamika. Si Simba wala Yanga wote mnafaidi haki za Matangazo ya TV bila kelele. Kwa hiyo kwa Sababu ya Usimba na Yanga mnataka Mbeya City asipate ufadhili kwa kuwafuata nyie?? Walipeni Geita Gold, Police Tanzania na Biashara Mara mgao ambao wangeupata toka GSM basi!!!
Ushawahi kuona jezi ya simba au yanga ina tangazo la azam?
 
Kwanza jezi yenye nembo ya GSM hatutalivaa ,wakitaka watushushe hata daraja ,kwa vile kanuni imevunjwa CAF,CAS na FIFA watatuletea majibu
Tutawafata huko huko tuwatandike
 
Mtu anazuka tu hata kuchangia 500 kwenye soka hawezi halafu anadharau udhamini wa bilioni 2? GSM ni wadhamini wa Yanga na siyo wamiliki wa Yanga, Azam ni Wadhamini wa Azam na wamiliki wa Azam Fc lakini hamkuwahi kulalamika. Si Simba wala Yanga wote mnafaidi haki za Matangazo ya TV bila kelele. Kwa hiyo kwa Sababu ya Usimba na Yanga mnataka Mbeya City asipate ufadhili kwa kuwafuata nyie?? Walipeni Geita Gold, Police Tanzania na Biashara Mara mgao ambao wangeupata toka GSM basi!!!

Tatizo na wewe unaandika huku ukiwa umeelemewa na ushabiki wako kwa Utopolo,haya tuambie hapa Kanuni za TFF hasa ile no 16 zinasemaje kuhusu hili la GSM na TFF?
 
GSM kajitolea kuwezesha timu za ligi kuu uwezo wa kipesa hasa kwenye kipengele cha mishahara na usafiri ila anatokea mpumbavu mmoja tajiri mbinafsi hataki huo udhamini kwasababu ya uwezo wake na anasahau kwamba kuna timu zina struggle ktk kujiendesha

Yeye huyo GSM si aende awadhamini hizo timu kama anataka kuwawezesha? Sote tunajua lengo la GSM siyo hizo team ndogo ndogo,yeye anataka aweke nembo yake kwa jersey ya Simba basi.Kama ni kuwa mdhamini mwenza why aweke masharti ya kwamba logo yake lazima ikae kwenye jersey? Hivi yeye ni wa kwanza kuwa mdhamini mwenza wa ligi hii? Alikuwepo hapa KCB,mbona hatukuona hayo masharti,Simba shikirieni hapo hapo,nina uhakika kwa sasa pana watu wako kwa kikaango kwa kushiriki hii janja janja ya GSM.Mtani,Derby itachezwa na nembo ya GSM kwa jersey ya Simba haitokuwepo.
 
Hiyo sio sheria mkuu ila ni kanuni, na kanuni huwa zinabadilika muda wowote

Kwa hiyo unajifungia chumbani TFF na GSM wanabadiri kanuni wao tu bila kuwashirikisha wadau wa ligi Kuu?
 
Yeye huyo GSM si aende awadhamini hizo timu kama anataka kuwawezesha? Sote tunajua lengo la GSM siyo hizo team ndogo ndogo,yeye anataka aweke nembo yake kwa jersey ya Simba basi.Kama ni kuwa mdhamini mwenza why aweke masharti ya kwamba logo yake lazima ikae kwenye jersey? Hivi yeye ni wa kwanza kuwa mdhamini mwenza wa ligi hii? Alikuwepo hapa KCB,mbona hatukuona hayo masharti,Simba shikirieni hapo hapo,nina uhakika kwa sasa pana watu wako kwa kikaango kwa kushiriki hii janja janja ya GSM.Mtani,Derby itachezwa na nembo ya GSM kwa jersey ya Simba haitokuwepo.
Aya sawa
 
Nembo si ni nembo tu, tuvae tu.

Mbona plate namba za magari yetu zina rangi za njano mbona hatukatai, hata huyo CEO Barbara anapanda gari lenye plate namba za njamo mbona hagomei.

Basi letu la Simba pamoja na kupigwa rangi nyeupe na nyekundu lakini kwente plate namba ipo rangi ya njano.

Viongozi wetu wa Simba ni wajinga sana iwapo kama wanagomea vitu vidogo kama hivi.
 
UnAjua hawa wanadhan MO DEWJ hawezi amua kudhamini ligi yote iitwe dewj premier league tatzo anajua sheria na taratibu za FIFA na fear competition zitamnasa na ata haribia simba zaidi. Sasa gsm mzee wa kuforce hahah

GSM keshazoea kufanya mambo kihuni,umesahau uhuni wake enzi za Home Shopping Center?
 
Kingine unasema gsm ni.mdhamini wa yanga sio mmiliki. Hivi hersi hana cheo.kule kwa gsm na pia anahusika na usajili nk pale utopwinyoni. Hembu acha uzwazwa. Yaani hii ngoma ipo siku mtaja kujuta maana mnabishia taratibu. Ubaya TFF nao wanaweza pigwa ban na FIFA 😂😂😂
Vaeni jezi nyie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom