GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
Mimi ni simba Ila ni fresh tu hata kama tukivaa jezi yenye nembo ya GSM
Ishu kubwa sio kuvaa nembo, hiyo hata mimi naona ni kawaida tu, ikitokea GSM akaidhamini Simba wala isikatae kuvaa nembo. Ishu kubwa ni mgongano wa maslahi, yaani kudhamini timu chache halafu hapo hapo kudhamini ligi yenye inashindanisha timu hizo ulizozidhamini na nyingine usizozidhamini
 
Ishu kubwa sio kuvaa nembo, hiyo hata mimi naona ni kawaida tu, ikitokea GSM akaidhamini Simba wala isikatae kuvaa nembo. Ishu kubwa ni mgongano wa maslahi, yaani kudhamini timu chache halafu hapo hapo kudhamini ligi yenye inashindanisha timu hizo ulizozidhamini na nyingine usizozidhamini
Elezea namna mgongano wa kimaslahi ulivyo ktk udhamini huu
 
Elezea namna mgongano wa kimaslahi ulivyo ktk udhamini huu
Sportpesa walikuwa wanatoa zawadi kwa timu walizizidhamini (Simba, Yanga, kipindi fulani Namungo na Singida United), iwapo zingechukua ubingwa, au kushika nafasi ya pili, na bonus nyingine. Kama Sportpesa wangekuwa wanaidhamini ligi yote pia, kwa lugha nyingine ni sawa na kusema inawapa hela hao wanne wafanye vizuri katika ligi wanayodhamini timu zote
 
Sportpesa walikuwa wanatoa zawadi kwa timu walizizidhamini (Simba, Yanga, kipindi fulani Namungo na Singida United), iwapo zingechukua ubingwa, au kushika nafasi ya pili, na bonus nyingine. Kama Sportpesa wangekuwa wanaidhamini ligi yote pia, kwa lugha nyingine ni sawa na kusema inawapa hela hao wanne wafanye vizuri katika ligi wanayodhamini timu zote
Hapo umehama kwenye point yako ya conflict of interest Na umehamia Kwenye League fairness

Zungumzia kwanza hiyo conflict of interest ilivyo ktk Huu Udhamini mkuu
 
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)

GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Tulia wewe, mwambie tajiri wenu Mo naye aweke mzigo Kama Ana ubavu huo.
 
Tulia wewe, mwambie tajiri wenu Mo naye aweke mzigo Kama Ana ubavu huo.
Yule ni tajiri mwenye akili sio huyo tajiri mkwepa kodi, tajiri atakua hana elimu ndio maana anafanya madudu
 
Mimi ni Yanga ila kwa hili Gsm wamefanya mambo kishenzi kabisa yani kiutopwinyo kama jina letu pendwa.
Hawa ndio wale malay.a wa mtandaoni.

Screenshot_20211208-144831_Chrome.jpg
 
Huu ndii udumavu wa akili na umaskini umekujaa tangu ushinde challenge hapa jf unadhani kila kitu upo sawa kumbe mashudu matupu.

Na haya unayosema yasipotokea?
 
Taratibu mkuu,em thibitisha maadai yako!!
 
Huu ndii udumavu wa akili na umaskini umekujaa tangu ushinde challenge hapa jf unadhani kila kitu upo sawa kumbe mashudu matupu.

Na haya unayosema yasipotokea?
Acha makasiriko mm.sijasema uwe na stress zako 😂😂😂😂
 
Acha makasiriko mm.sijasema uwe na stress zako 😂😂😂😂
Umefungua uzi kuponda matajiri wenye pesa ni nini kama sio umaskini?

Ungekuwa na hela usingeniomba kura pm,
Sasa nani ana stress Kati yangu na wewe ulielilia kura pm kwangu nikakupa kwa kukuonea huruma?
😀😀😀😀🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Umefungua uzi kuponda matajiri wenye pesa ni nini kama sio umaskini?

Ungekuwa na hela usingeniomba kura pm,
Sasa nani ana stress Kati yangu na wewe ulielilia kura pm kwangu nikakupa kwa kukuonea huruma?
😀😀😀😀🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Tajiri hakosei..?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom