GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
mi naona ni suala dogo sana la kueleweshana tu lakini Simba wamelichukua tofauti sana maana ninachokiona ni ushindani wa kibiashara Kati ya GSM na Mentl ila Simba inatumika tu. tunahitaji ligi Bora na ligi Bora inahitaji uwekezaji sasa tunapowakatisha tamaa wawekezaji kama hawa kwa maslahi ya watu wachache sio poa maana tunaona kuna timu zinakosa hata nauli
Tatizo Simba hataki ligi yenye ushindani,anavyotaka yeye ligi iwe na timu zenye njaa awapige mpunga na kushinda mechi zake ana hofu timu zikiwa na hela zitasumbua ligi hatimaye yeye kukosa ubingwa. Wewe ukiona GSM kaweka bil 2.1 wewe Metl/Mo weka Bil 10 huo ndiyo uwanaume ukiona GSM wamedhamini na wewe dhamini tena kwa kuweka mpunga mrefu.Huo ndiyo ushindani wa uwekezaji kwenye soka tatizo Hindi janja sana tapeli tapeli inapenda maslahi yake binafsi sana hata wafanyakazi kwenye kampuni zake wanalia maslahi duni sana wanafanyia njaa tu hawana jinsi ila Hindi bahili sana.Katika msingi huo Yanga na Simba wakigombania mchezaji kwa mpunga bilashaka Yanga atashinda kwani mdhamini wake siyo bahili hivyo Simba wajiandae kupata tabu kwa Yanga katika misimu yote ya udhamini wa GSM na sasa naanza kuamini dirisha dogo lijalo Chama atakwenda Yanga majibu yapo wazi na wachezaji wengi wa Simba watashituka na kukimbilia Yanga kwenye hela kumbuka mpira ni ajira kama mtu analipa vizuri na kujali wachezaji wake ni wazi atapendwa na kukimbiliwa na wengi.Muda utasema
 
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)

GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Utopox timu ya mazuzu... hawana watu wa mpira ndo maana kila siku wanachukua watu wa simba kina Manara na Mbatha
 
S
Tatizo Simba hataki ligi yenye ushindani,anavyotaka yeye ligi iwe na timu zenye njaa awapige mpunga na kushinda mechi zake ana hofu timu zikiwa na hela zitasumbua ligi hatimaye yeye kukosa ubingwa. Wewe ukiona GSM kaweka bil 2.1 wewe Metl/Mo weka Bil 10 huo ndiyo uwanaume ukiona GSM wamedhamini na wewe dhamini tena kwa kuweka mpunga mrefu.Huo ndiyo ushindani wa uwekezaji kwenye soka tatizo Hindi janja sana tapeli tapeli inapenda maslahi yake binafsi sana hata wafanyakazi kwenye kampuni zake wanalia maslahi duni sana wanafanyia njaa tu hawana jinsi ila Hindi bahili sana.Katika msingi huo Yanga na Simba wakigombania mchezaji kwa mpunga bilashaka Yanga atashinda kwani mdhamini wake siyo bahili hivyo Simba wajiandae kupata tabu kwa Yanga katika misimu yote ya udhamini wa GSM na sasa naanza kuamini dirisha dogo lijalo Chama atakwenda Yanga majibu yapo wazi na wachezaji wengi wa Simba watashituka na kukimbilia Yanga kwenye hela kumbuka mpira ni ajira kama mtu analipa vizuri na kujali wachezaji wake ni wazi atapendwa na kukimbiliwa na wengi.Muda utasema
Usiwasingizie simba ww hawajakataa mdhamini ila.kanuni na taratibu zifuatwe
 
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)

GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Tayari Simba wamepeleka mijichozi yao tume ya ushindani. Nyamaza katoto kazuri, usilie ntakupa pipi
 
Hakuna aliye katishwa tamaa mkuu, sababu sio mara ya kwanza ligi yetu kuwa na mdhamini mwenza ila hoja inatokea je ni kwanini alazimishe kuwepo kwenye jezi wakati kikanuni anatakiwa kuishia kwenye mabango, ana maslahi gani na Simba ?? .. msimu uliopita mdhamini mwenza alikuwa kcb bank je mlimvaa kwenye matambala yenu ??.
Kwanza unatakiwa uelewe kuwa TFF ndo walimfata GSM kuomba udhamini.

Nembo ya GSM kuwa katika jezi za timu zinazoshiriki ligi huenda ni miongoni mwa 'term' iliyopo katika mkataba ambapo pande zote mbili wali agree.

Kitendo cha kusema kua GSM 'analazimisha' ni kuwakosea TFF ambao nao pia walikuwepo wakati wa ku-negotiate contract.
 
Hakuna aliye katishwa tamaa mkuu, sababu sio mara ya kwanza ligi yetu kuwa na mdhamini mwenza ila hoja inatokea je ni kwanini alazimishe kuwepo kwenye jezi wakati kikanuni anatakiwa kuishia kwenye mabango, ana maslahi gani na Simba ?? .. msimu uliopita mdhamini mwenza alikuwa kcb bank je mlimvaa kwenye matambala yenu ??.
Mkataba ni makubaliano baina ya pande mbili.

What if KCB na TFF hawakubaliani kua nembo ya KCB kua katika jezi za timu ambazo zinazoshiriki ligi?
 
Kwanza unatakiwa uelewe kuwa TFF ndo walimfata GSM kuomba udhamini.

Nembo ya GSM kuwa katika jezi za timu zinazoshiriki ligi huenda ni miongoni mwa 'term' iliyopo katika mkataba ambapo pande zote mbili wali agree.

Kitendo cha kusema kua GSM 'analazimisha' ni kuwakosea TFF ambao nao pia walikuwepo wakati wa ku-negotiate contract.

Eti TFF waliwafuata GSM,nani hajui uhuni wa GSM tangu enzi za HSM, Home Discount na sasa GSM? We all know,lengo la GSM ni kutaka kujitangaza kupitia Simba kwa mgongo wa TFF baada ya kuona kile alikitarajia kupitia Yanga hakipati. Msimamo wa Simba hatuvai nembo ya GSM na tuone TFF watafanya nini, Simba ndiyo inabeba taswira ya mpira wa Tanzania barani Africa,kama TFF wana jeuri basi waishushe daraja kama kweli wanajiamini vinginevyo hiyo pesa kama walishakula wataitapika.
 
Kwanza unatakiwa uelewe kuwa TFF ndo walimfata GSM kuomba udhamini.

Nembo ya GSM kuwa katika jezi za timu zinazoshiriki ligi huenda ni miongoni mwa 'term' iliyopo katika mkataba ambapo pande zote mbili wali agree.

Kitendo cha kusema kua GSM 'analazimisha' ni kuwakosea TFF ambao nao pia walikuwepo wakati wa ku-negotiate contract.
Una uhakika gani kwamba Tff ndo wakimfuata GSM, anyway kwanza GSM ni kit supplier wa yanga na vunjabei ni kit supplier wa Simba inawezekana vipi hawa kukaa kwenye jezi moja, Yani puma na Nike ikae pamoja does t make sense ??.
 
Kwanza unatakiwa uelewe kuwa TFF ndo walimfata GSM kuomba udhamini.

Nembo ya GSM kuwa katika jezi za timu zinazoshiriki ligi huenda ni miongoni mwa 'term' iliyopo katika mkataba ambapo pande zote mbili wali agree.

Kitendo cha kusema kua GSM 'analazimisha' ni kuwakosea TFF ambao nao pia walikuwepo wakati wa ku-negotiate contract.
Ndio ana lazimisha why wa force mkataba usainiwe haraka haraka km sio mambo yakina cheief mangungo
 
Una uhakika gani kwamba Tff ndo wakimfuata GSM, anyway kwanza GSM ni kit supplier wa yanga na vunjabei ni kit supplier wa Simba inawezekana vipi hawa kukaa kwenye jezi moja, Yani puma na Nike ikae pamoja does t make sense ??.
Eti Puma na Nike!

Ujinga mtupu kwa kudanganywa na wachambuzi 0 brain alafu na wewe unabeba bila kutafakari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom