"MATAJIRI" waliolipa transfer fee ya usd 500,000 wakashindwa kumalizia usd 20,000 by august ili mchezaji aje bongo na leo hajaonekana muhimbili kupigwa chanjo, only fools wataamini hilo
"MATAJIRI" ambao hawamtaki michael sarpong ila yeye kawakazia kama wanatyaka kuvunja mkataba wampe usd 35,000 wao wanataka wamlipe mshahara wa miezi miwili kakaataa na hadi sasa wanahindwa kumuacha kwenye list yao
"MATAJIRI "amabo kwa kushirikiana na propaganada machien zao kwa msimu mzima walishindwa kusema ukweli kwamba tuisila kisinda alikuwa anacheza kwa mkopo na hawatapata hela yoyote akiuzwa Rs berkane kama vile jinsi walivyokosa hela ya makambo kuuzwa horoya