Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote wewe... uongo wako nimeuweka wazi na badala yake unaanza matusi badala ya kujibu maswali niliyokuuliza!!!UNAJUA MAANA YA MANENO PICHA YA CHINI NI KUMBUKUMBU?WE BWEGE KWELI WEEE
UNARUKA RUKA KAMA MAHARAGE YA MBEYA UONEKANE NI CRITIC WA MANA NIMEWEKA MANENO KWAMBA HII PIC NI KUMBUKUMBU AMBACHO HUJAELEWA NINI?Baada ya kumbana sana, hapo juu akaweka kipande cha gazeti akidhani nitashindwa kufahamu ni la lini!! Yaani kaweka kipande cha gazeti la miaka 3 iliyopita kutetea uongo wake wa 2021!!
UMEUMBUKA WEWE KILAZA RUDIA ILE POST KAMA SIJAWEK MANENO"HII PICHA NI KUMBUKUMBU" hopeless ,Imbecile kabisaUmweanza matusi baada ya kukuumbua!!
Ngoja nikupuuze rasmi manake umebaki kuruka ruka tu!!
UNARUKA RUKA KAMA MAHARAGE YA MBEYA UONEKANE NI CRITIC WA MANA NIMEWEKA MANENO KWAMBA HII PIC NI KUMBUKUMBU AMBACHO HUJAELEWA NINI?
YAANI MWEZI WOTE HUU NI HABARI ZA NDANI ZA UTOPOLO KAMA UTAKEREKA NIWEKE KWENYE IGNORE LIST
IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!!UMEUMBUKA WEWE KILAZA RUDIA ILE POST KAMA SIJAWEK MANENO"HII PICHA NI KUMBUKUMBU" hopeless ,Imbecile kabisa
Vey Good, Bye felicia..................dunderheadIGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!! IGNORED!!
waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda moroco
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo manara lilipost, hata beki mpya wa simba anyejiita varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE na mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini ibenge asimchukue huyo sasa..jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Kama hawataki kukuelewa waache usiwalazimishe, watu na mahaba yao."MATAJIRI" waliolipa transfer fee ya usd 500,000 wakashindwa kumalizia usd 20,000 by august ili mchezaji aje bongo na leo hajaonekana muhimbili kupigwa chanjo, only fools wataamini hilo
"MATAJIRI" ambao hawamtaki michael sarpong ila yeye kawakazia kama wanatyaka kuvunja mkataba wampe usd 35,000 wao wanataka wamlipe mshahara wa miezi miwili kakaataa na hadi sasa wanahindwa kumuacha kwenye list yao
"MATAJIRI "amabo kwa kushirikiana na propaganada machien zao kwa msimu mzima walishindwa kusema ukweli kwamba tuisila kisinda alikuwa anacheza kwa mkopo na hawatapata hela yoyote akiuzwa Rs berkane kama vile jinsi walivyokosa hela ya makambo kuuzwa horoya
Kisinda sio wa Yanga ni wa Vita, hiyo pesa itakwenda Vita Club sio Yanga mnadanganywa hao matapeli wenu wa GSM hawakuwahi kumnunua Kisinda.Ukiacha makasiriko ndo uje hapa tena,but football is about business, players and club they do business
RS Berkane placed a high offer to the player and high offer to the club compared to price tag used to buy TK Master last season
So, when calculation come to your favor, u have to opt for better calculations coz apart from player and club achievements there is financial benefit which is more important than anything in a player carrier
Kwa hiyo unataka kutuambia jamaa ana bifu na Kisinda wenu?Info ya maana?! Info haina ushahidi wowote bado unaita ya maana?! Hivi hayo manamba aliyoyaandika, wewe unaweza kushindwa kuyaandika na kusema kwa mfano, Kisinda analipwa laki 5?!
Unaweza kushindwa kuandika na kusema hata Khalid Aucho amechukuliwa kwa mkopo, na mwenyewe ametanguliziwa Sh 2 Million kwa sababu huna ulazima wa kuweka ushahidi wa maelezo yako!!
Huyo Djuma toka muambiwe amesajiliwa Yanga mpaka leo umewahi kumuona au kupata taarifa zozote za mahali alipo?Cha maana ulichouliza ni kipi?
Nimekuuliza niwekee source kutoka Yanga au GSM iliyoeleza Djuma Shabaan amesajiriwa na Yanga, bado hujaweka hiyo source!!
Ikiwa wewe umeandika Tuisila alikuwa Yanga kwa mkopo bila kutoa ushahidi wowote, unaweza kumbishia mwingine atakayekuambia alisajiriwa kwa Billion 5 ikiwa suala la ushahidi halina umuhimu?
Kumbe hata habari za Yanga yako huna, mwenzako alivalishwa mpaka jezi ya utopolo.Kabla hujaendelea kutudai mbona Djuma hakuwa Muhimbili, tuambie kwanza ni lini na wapi Yanga ilimtangaza Djuma Shabaan kwamba mchezaji wake!!!
Bado unashoboka na hii post???????si ulisema umeniweka kwenye ignored list? chapa lapa fala wewe mwezi wote huu nime u dedicate kufichua madudu yaliyopo kidimbwiniBaada ya kumbana sana, hapo juu akaweka kipande cha gazeti akidhani nitashindwa kufahamu ni la lini!! Yaani kaweka kipande cha gazeti la miaka 3 iliyopita kutetea uongo wake wa 2021!!
Ndiyo maana nimemshangaa halafu anajiona bonge la genius eti ana fact na majinga yanamjaza kichwa, issue ya huyo m congo na Sarpong kukataa kuvunja mkataba bila mpunga mrefu na GSM wanashindwa nazisema wanachofanya ni kunitoa nje ya reli tubishane ujingaKumbe hata habari za Yanga yako huna, mwenzako alivalishwa mpaka jezi ya utopolo.
Hapa sasa ndio unatakiwa uamini GSM wamewanunua wajinga kwenye vyombo vya habari ikiwemo watangazaji wa EFM ili wawe wanaandika upupu wa kuisifia Yanga, mnaishi kwa kudanganywa sana.
Sijawai kuona mtu mweupe kichwani Kama wewe, huo mkopo wa kisinda uliusaini wewe? Je vipengele vya mkataba wa kisinda na yanga unavijua au umekosa cha kupost apa unakurupuka tu,waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda moroco
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo manara lilipost, hata beki mpya wa simba anyejiita varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE na mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini ibenge asimchukue huyo sasa..jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Kwahiyo aliposema Simba waache uongo, Banda hakusajiriwa kwa USD 300K bali amesajiriwa kwa Sh. 70M ni kwamba ana bifu na Banda, au?!Kwa hiyo unataka kutuambia jamaa ana bifu na Kisinda wenu?
Vipi dadangu...Bado unashoboka na hii post???????si ulisema umeniweka kwenye ignored list? chapa lapa fala wewe mwezi wote huu nime u dedicate kufichua madudu yaliyopo kidimbwini
Chapa lapa fala wewe punguza shobo
Unaona sasa na wewe....Kumbe hata habari za Yanga yako huna, mwenzako alivalishwa mpaka jezi ya utopolo.
Hapa sasa ndio unatakiwa uamini GSM wamewanunua wajinga kwenye vyombo vya habari ikiwemo watangazaji wa EFM ili wawe wanaandika upupu wa kuisifia Yanga, mnaishi kwa kudanganywa sana.
Kumbe nawe ni wale wale tu....Huyo Djuma toka muambiwe amesajiliwa Yanga mpaka leo umewahi kumuona au kupata taarifa zozote za mahali alipo?