Hilo swali usirudie tena kuuliza , hata wanaokutetea wanakushangaa.Yaani unavyoliuliza utadhani huko utopoloni team inaendeshwa kwa utaratibu,yale mapicha na jezi kule congo waliyorelease Gsm hukuyaona kavaa jezi anasaini?
Na kwa taarifa yako hiko ndicho kimemuudhi sana kwa sababu walikubaliana by august amaliziwe dollar 20k iliyobaki ili atangazwe rasmi akashangaa kuona picha zimeachiwa ili kutuliza munkari ya wana kidimbwi ambao kwa miaka 4 sasa huwa wana furaha kupitiliza ifikapo kipindi cha usajili
**picha ya chini ni kumbukumbu ya keeper bora kabisa aliyefananishwa na De gea***alileta furaha sana kipindi cha usajili
View attachment 1886697