GSM waambieni watu wenu ukweli kuhusu Kisinda, Djuma Shabani. Simba mmedanganya bei ya Banda

GSM waambieni watu wenu ukweli kuhusu Kisinda, Djuma Shabani. Simba mmedanganya bei ya Banda

We Kima hebu jibu nilichokuuliza!! Umesharuhusiwa na mumeo kusaka mabwana mitandaoni?! Babara nae kushatoa greenlight ya watu wengine kumsaidia kupiga vidole kwenye hilo tundu lako la taka ngum
acha kunitumia picha za makalio yako inbox nita ku report kwa Mods, acha ushoga we vipi kuku mtamu weee
 
acha kunitumia picha za makalio yako inbox nita ku report kwa Mods, acha ushoga we vipi kuku mtamu weee
We Kima hebu jibu nilichokuuliza!! Umesharuhusiwa na mumeo kusaka mabwana mitandaoni?! Babara nae kushatoa greenlight ya watu wengine kumsaidia kupiga vidole kwenye hilo tundu lako la taka ngum
 
Anyway, kwavile umeuliza kiungwana (ndivyo wanamichezo wanavyofanya) wacha nami nikujibu...

Jibu fupi ni kwamba, kwanza hiyo SIO akaunti ya Djuma Shabaan!! Na wala sio akaunti ya Yanga, GSM au mtu yeyote wa Yanga akitangaza kusajiriwa na Djuma Shaban!!

Hoja hapa huwezi kudai Yanga waongo wakati hakuna popote walipowahi kutangaza kwamba Djuma Shabani ni mali yao!!

Hersi na Nugaza wote hawa huwa wanawa-post wachezaji wanaosajiriwa na kutangazwa... umeshawahi kuona picha ya Djuma kwenye akaunti ya Nugaz, Hersi au ya Yanga SC?!

Sasa kwavile bado klabu haijamtangaza rasmi, basi hadi sasa tutaendelea kuziita tetesi hadi pale atakapotangazwa!!

Hizo picha mbili nilizoposti ni djuma au photoshoped?
 
Kwahiyo aliposema Simba waache uongo, Banda hakusajiriwa kwa USD 300K bali amesajiriwa kwa Sh. 70M ni kwamba ana bifu na Banda, au?!

Hivi na wewe ukiacha ushabiki wa "oyaa! oyaa" kuna chochote alichoandika ambacho kinachoingia akilini?!
Usiruhusu mapenzi kwa timu yako yazidi hata kukutia upofu, ameuliza Djuma yuko wapi licha ya kudai mlimsajili?

Waandishi wa habari mliowanunua, watangazaji wa radio wakiwemo wa EFM na yule wa blog ndio kazi wanayofanya kuwadanganya mashabiki wa Yanga mmemsajili fulani thn mnakuja kutupigia kelele huku kwa uongo mnaolishwa mitandaoni, huyu jamaa ndio anawajibu naona unakuwa mkali, usiwasemee usiowajua ndugu.
 
Unaona sasa na wewe....

Kumbe unachukulia taarifa zinazotangazwa na vyombo vya habari badala ya kuzungumzia taarifa zinazotolewa na klabu?!

Umeanza lini kufuatilia soka kasi kwamba hadi sasa hufahamu kitu kinachoitwa tetesi za usajiri?

Msaidie wewe sasa... ni kiongozi yupi wa Yanga ambae alikuwa huko EFM or else kutangaza kusajiriwa kwa Djuma?!

Mtu mwenye akil timamu angehoji suala la Djuma kuwa Muhimbili endapo tayari uongozi wa Yanga ingekuwa wameshamtangaza rasmi!

Sasa wewe unayezijua taarifa za Yanga, unaweza kusema hapa ni wapi na lini ametangazwa?! Au ukipitia pages za Instagram na kukuta wameandika Djuma amesajiriwa na Yanga kwako unaona hizo ni taarifa rasmi?!
Tabia za kitapeli za GSM huzijui, wachezaji kibao wanaondoka Yanga kwa sababu ya kuwadai badala yake GSM wanawaita hawana tabia nzuri ili mdanganywe.

GSM wamewanunua watangazaji feki wa radio, blogs, na magazeti ikiwemo Mwanaspoti wawaenezee propaganda ili muendelee kuwaona GSM wajanja kumbe wanawapiga tu.
 
Tafadhalini ,naona wajumbe wengi was uzi huu Wana Shahada ya matusi.....mnatukanana wenzenu kina Manara wanapiga.Tuoende hizi Timu ila tuwe na kiasi...wajanja wanatutumia!
 
Unaona sasa na wewe....

Kumbe unachukulia taarifa zinazotangazwa na vyombo vya habari badala ya kuzungumzia taarifa zinazotolewa na klabu?!

Umeanza lini kufuatilia soka kasi kwamba hadi sasa hufahamu kitu kinachoitwa tetesi za usajiri?

Msaidie wewe sasa... ni kiongozi yupi wa Yanga ambae alikuwa huko EFM or else kutangaza kusajiriwa kwa Djuma?!

Mtu mwenye akil timamu angehoji suala la Djuma kuwa Muhimbili endapo tayari uongozi wa Yanga ingekuwa wameshamtangaza rasmi!

Sasa wewe unayezijua taarifa za Yanga, unaweza kusema hapa ni wapi na lini ametangazwa?! Au ukipitia pages za Instagram na kukuta wameandika Djuma amesajiriwa na Yanga kwako unaona hizo ni taarifa rasmi?!
Hahari ya djshaban mbona hadi Harris alipost wako nae kongo wakapiga na picha jamaa amevaa jez ya yanga wakaonesha na mkataba uchwara haris anaulizwa mbona uliachia zile picha mapema akasema alifanya vile coz kuna team zilikua zinamtaka ila kiukweli dili la djumashaban limeota mbawa ibenge kashapita nae coz anajua GSM hua hawanunui wachazaji Bali wanaenda kubembeleza wapewe kwa mkopo
 
We Kima hebu jibu nilichokuuliza!! Umesharuhusiwa na mumeo kusaka mabwana mitandaoni?! Babara nae kushatoa greenlight ya watu wengine kumsaidia kupiga vidole kwenye hilo tundu lako la taka ngum
eti uananitumia pics za makalio yako machafu umeweka na ky jelly pembeni mimi nitakukaza kwa kukutumia makohozi na blue band plus parachichi,mbwa wewe
 
eti uananitumia pics za makalio yako machafu umeweka na ky jelly pembeni mimi nitakukaza kwa kukutumia makohozi na blue band plus parachichi,mbwa wewe
We Kima hebu jibu nilichokuuliza!! Umesharuhusiwa na mumeo kusaka mabwana mitandaoni?! Babara nae kushatoa greenlight ya watu wengine kumsaidia kupiga vidole kwenye hilo tundu lako la taka ngumu
 
Hahari ya djshaban mbona hadi Harris alipost wako nae kongo wakapiga na picha jamaa amevaa jez ya yanga wakaonesha na mkataba uchwara haris anaulizwa mbona uliachia zile picha mapema akasema alifanya vile coz kuna team zilikua zinamtaka ila kiukweli dili la djumashaban limeota mbawa ibenge kashapita nae coz anajua GSM hua hawanunui wachazaji Bali wanaenda kubembeleza wapewe kwa mkopo
Unaweza kuonesha hiyo picha kutokea akaunti ya Hersi?!

Yaani seriously Hersi aseme ali-post mapema kwa sababu kuna timu ilikuwa inamataka?! Sasa kama alishampa mkataba alihofia nini timu nyingine?

Au ndo kama ulivyosema eti mkataba uchwara?! Yaani mtu asafiri kutoka Dar hadi Kinshasa kwenda kusainisha mkataba uchwara?

Au ndo unataka kuaminisha ulikuwa mkataba uchwara ili kuzifanya timu zingine ziachane na Djuma kwa kuona amesajiriwa?!

Kama ndivyo, hivi professional kama Djuma anaweza kusaini mkataba fake wenye nia ya kumzibia fursa kutoka kwa timu zingine?

Anyway, picha unayoisema wewe haikuwa posted na Hersi bali ilikuwa posted kupitia Insta Account: djumashabani_officiel

It's hard to tell kama ni real Djuma's account kwa sababu licha ya kwamba haipo verified, lakini haijakuwa followed na watu kutoka soccer industry ukimuacha Mukoko na Dauda... hii si kawaida!!

Djuma nilim-follow kitambo kwenye Twitter... ukiangalia kule, sio mtu wa ku-post post!! Pale Insta, account inayoendana na tabia hii ya Djuma ni: @djuma7590, na uzuri wa hii imekuwa followed hadi na Faustino Mukandila ambae ndie agent wake!!

Kwenye hiyo akaunti, hakuna hiyo picha!!!

Ninachojaribu kuwaeleza hapa ni kwamba, ingawaje hakuna shaka yoyote kuhusu Yanga kumtaka Djuma Shabani lakini habari zote mnazotumia hapa kama reference ni tetesi na habari zisizo rasmi!!! Na ndo maana, baada ya kusambaa hizo picha, Habari Leo kama wengine waliandika hiyo habari, lakini kwavile picha haikutoka kwenye akaunti rasmi, Habari Leo wakampigia Bumbuli ambae alijibu:-
Siwezi kuzungumzia usajili huo kwasababu sijapata taarifa, zingekuwa rasmi ungeona kwenye mtandao wa klabu
Isitoshe ni kichekesho kusema eti Djuma haonekani Yanga kwa sababu hajamaliziwa $20K!! Hivi Yanga ni wa kushindwa kulipa 20K?! Like serious?!

Endeleeni tu kulishana matango pori kwamba Djuma haonekani kwa sababu hajalipwa $20K wakati hata picha za Khalidi Aucho hamkuwahi kuziona hadi alipotangazwa rasmi na klabu!!

Na hata huyo Djuma hamtamuona huko hadi atakapotangazwa rasmi!!

Kwamba eti:-
GSM hua hawanunui wachazaji Bali wanaenda kubembeleza wapewe kwa mkopo
Itoshe tu kusema kwamba, anzisha na wewe timu yako uwe unaenda DRC kuchukua wachezaji wa bure!!!
 
Tabia za kitapeli za GSM huzijui, wachezaji kibao wanaondoka Yanga kwa sababu ya kuwadai badala yake GSM wanawaita hawana tabia nzuri ili mdanganywe.
Kama alivyoondoka mchezaji yupi baada ya kuwa ametapeliwa?
GSM wamewanunua watangazaji feki wa radio, blogs, na magazeti ikiwemo Mwanaspoti wawaenezee propaganda ili muendelee kuwaona GSM wajanja kumbe wanawapiga tu.
Walikuwa na sababu ipi ya kuwanunua watangazaji ili watangaze kumsajiri Djuma? Oh!

Kama GSM anapiga Yanga, tuseme nini kuhusu Mwamedi mliyemkopesha 49% ya hisa za Simba kwa 20B huku mkipiga vigelele?
 
Usiruhusu mapenzi kwa timu yako yazidi hata kukutia upofu, ameuliza Djuma yuko wapi licha ya kudai mlimsajili?
Jibu swali wewe!!! Swali lilikuwa:-
Kwahiyo aliposema Simba waache uongo, Banda hakusajiriwa kwa USD 300K bali amesajiriwa kwa Sh. 70M ni kwamba ana bifu na Banda, au?!
Jibu hilo swali.
Waandishi wa habari mliowanunua, watangazaji wa radio wakiwemo wa EFM na yule wa blog ndio kazi wanayofanya kuwadanganya
Yaani bado tangu juzi huna hoja yoyote ile zaidi ya eti kuwanunua waandishi!!! Toa hoja za msingi na sio hoja za kufikirika!!
mashabiki wa Yanga mmemsajili fulani thn mnakuja kutupigia kelele huku kwa uongo mnaolishwa mitandaoni, huyu jamaa ndio anawajibu naona unakuwa mkali, usiwasemee usiowajua ndugu.
Weka taarifa rasmi kutoka Yanga au kutoka watu rasmi wa Yanga waliowahi kutangaza kuhusu kununuliwa mchezaji fulani lakini kumbe ilikuwa uongo!!

Btw, hivi kuna timu inayolisha matango pori mashabiki wake kuizidi Simba?!

Hivi si ndo nyinyi mliokuwa mnalishwa matango pori kwamba level zenu ni Al Ahyl wakati hata uwanja hamna!!!

Hivi si ndo nyinyi mnaodanganywa mpo level moja na timu kama Mazembe wakati bajeti yenu ya mwaka mzima wenzenu wanatumia kununua mchezaji mmoja tu!!

Hivi si ndo nyinyi nyinyi mnaoaminishwa timu yenu ina pesa kwa sababu tu Mwamedi mliokopesha nusu ya klabu kwa 20 Billion wakati wenzenu hiyo 20 Billion ni pesa ya usajili tu!!!
 
Unaweza kuonesha hiyo picha kutokea akaunti ya Hersi?!

Yaani seriously Hersi aseme ali-post mapema kwa sababu kuna timu ilikuwa inamataka?! Sasa kama alishampa mkataba alihofia nini timu nyingine?

Au ndo kama ulivyosema eti mkataba uchwara?! Yaani mtu asafiri kutoka Dar hadi Kinshasa kwenda kusainisha mkataba uchwara?

Au ndo unataka kuaminisha ulikuwa mkataba uchwara ili kuzifanya timu zingine ziachane na Djuma kwa kuona amesajiriwa?!

Kama ndivyo, hivi professional kama Djuma anaweza kusaini mkataba fake wenye nia ya kumzibia fursa kutoka kwa timu zingine?

Anyway, picha unayoisema wewe haikuwa posted na Hersi bali ilikuwa posted kupitia Insta Account: djumashabani_officiel

It's hard to tell kama ni real Djuma's account kwa sababu licha ya kwamba haipo verified, lakini haijakuwa followed na watu kutoka soccer industry ukimuacha Mukoko na Dauda... hii si kawaida!!

Djuma nilim-follow kitambo kwenye Twitter... ukiangalia kule, sio mtu wa ku-post post!! Pale Insta, account inayoendana na tabia hii ya Djuma ni: @djuma7590, na uzuri wa hii imekuwa followed hadi na Faustino Mukandila ambae ndie agent wake!!

Kwenye hiyo akaunti, hakuna hiyo picha!!!

Ninachojaribu kuwaeleza hapa ni kwamba, ingawaje hakuna shaka yoyote kuhusu Yanga kumtaka Djuma Shabani lakini habari zote mnazotumia hapa kama reference ni tetesi na habari zisizo rasmi!!! Na ndo maana, baada ya kusambaa hizo picha, Habari Leo kama wengine waliandika hiyo habari, lakini kwavile picha haikutoka kwenye akaunti rasmi, Habari Leo wakampigia Bumbuli ambae alijibu:-

Isitoshe ni kichekesho kusema eti Djuma haonekani Yanga kwa sababu hajamaliziwa $20K!! Hivi Yanga ni wa kushindwa kulipa 20K?! Like serious?!

Endeleeni tu kulishana matango pori kwamba Djuma haonekani kwa sababu hajalipwa $20K wakati hata picha za Khalidi Aucho hamkuwahi kuziona hadi alipotangazwa rasmi na klabu!!

Na hata huyo Djuma hamtamuona huko hadi atakapotangazwa rasmi!!

Kwamba eti:-

Itoshe tu kusema kwamba, anzisha na wewe timu yako uwe unaenda DRC kuchukua wachezaji wa bure!!!
Acha kujifanya kipofu picha uyo Harris aliweka had kwenye insta story Yake hizi hapa ,pia nugaz na watu mbal mbal wa yanga bila kusahau chawa wa GSM

images (8).jpeg


images (7).jpeg
 
Jibu swali wewe!!! Swali lilikuwa:-

Jibu hilo swali.

Yaani bado tangu juzi huna hoja yoyote ile zaidi ya eti kuwanunua waandishi!!! Toa hoja za msingi na sio hoja za kufikirika!!

Weka taarifa rasmi kutoka Yanga au kutoka watu rasmi wa Yanga waliowahi kutangaza kuhusu kununuliwa mchezaji fulani lakini kumbe ilikuwa uongo!!

Btw, hivi kuna timu inayolisha matango pori mashabiki wake kuizidi Simba?!

Hivi si ndo nyinyi mliokuwa mnalishwa matango pori kwamba level zenu ni Al Ahyl wakati hata uwanja hamna!!!

Hivi si ndo nyinyi mnaodanganywa mpo level moja na timu kama Mazembe wakati bajeti yenu ya mwaka mzima wenzenu wanatumia kununua mchezaji mmoja tu!!

Hivi si ndo nyinyi nyinyi mnaoaminishwa timu yenu ina pesa kwa sababu tu Mwamedi mliokopesha nusu ya klabu kwa 20 Billion wakati wenzenu hiyo 20 Billion ni pesa ya usajiri tu!!!
Usajiri wa mayele huyu msanii au
 
Hizo picha mbili nilizoposti ni djuma au photoshoped?
Kwenye ulimwengu wa leo, it's hard to say kama ni real or photoshop lakini hiyo sio hoja!!! Instagram account ninayoamini ndo ya Djuma ni: djuma7590. Hii inafanana fanana kuwa ya Djuma kwasababu ipo followed na Faustino Mukandika ambae ndie agent: @faustyworld

Kwenye akaunti ya @djuma7590 sijaona hiyo picha!!! Hata kwenye akaunti ya Mukandila ambae ana kawaida ya kuwa-post wachezaji wake wanaopata deal, huko nako sijaona hiyo picha!!!

Kitu ambacho kinafanana na hicho, ni pale Hersi alipokuwa ame-post picha akiwa na Waziri wa Michezo, na kwenye ile nakumbuka aliandika "Nikiripoti kutoka Congo, ni mimi Hersi Djuma Shabani.

Sasa hiyo huwezi kuita ni taarifa rasmi hata kama ndiyo ilitufanya watu tujumlishe 1 + 1 !!

All in all, issue sio uhalali wa picha bali ni kwamba Yanga pamoja na watu wake hawajawahi kutangaza rasmi kwamba imemsajili Djuma!!!
 
Acha kujifanya kipofu picha uyo Harris aliweka had kwenye insta story Yake hizi hapa ,pia nugaz na watu mbal mbal wa yanga bila kusahau chawa wa GSM

View attachment 1887973

View attachment 1887974
Hivi unaelewa mtu anaposema "Yanga haijatangaza popote kwamba imemsajili Djuma Shabani"?!

Hizo picha umezitoa kwenye akaunti ya Yanga au ya watu wa Yanga?!

Tangu lini taarifa rasmi ikawekwa InstaStory?

Btw, kama picha ndo ushahidi bila kujali imetolewa wapi, si juzi tu hapa imesambazwa picha ya Kisinda akionekana na viongozi wa timu ya RS Berkane, huku akiwa amekula uzi wao?!
 
Hivi unaelewa mtu anaposema "Yanga haijatangaza popote kwamba imemsajili Djuma Shabani"?!

Hizo picha umezitoa kwenye akaunti ya Yanga au ya watu wa Yanga?!

Tangu lini taarifa rasmi ikawekwa InstaStory?

Btw, kama picha ndo ushahidi bila kujali imetolewa wapi, si juzi tu hapa imesambazwa picha ya Kisinda akionekana na viongozi wa timu ya RS Berkane, huku akiwa amekula uzi wao?!
Taztizo lako ubishi mwingi uyo jamaa haris safar Yake yakwenda Kongo kipind cha dirisha lausajil lilivo funguliwa kitu cha kwanza na target Yake kubwa ilikua kumvuta djuma na izo picha alizota yeye na akakili kufanya hivo sababu kunavirub vingi vinamtaka ila haikuasaidia pia wachezaji walikil kua djuma ashasinya ila ndo ivo picha zote za kuhusu shaban washazifuta huko instal ngoja nikutumie na video clip kwanza
 
Back
Top Bottom