Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Jamaa katugea info ya maana ila katumia lugha ngumu kidogo,acha kuwa mbishi,kama una info iliyo sahihi zaidi rusha hapa.Point yako hasa ni ipi hapo?
Ametangazwa lini, na wapi?
Ni mchezaji yupi ambao hao GSM walitangaza anauzwa $500K?! Au Haji Manara?
Sio kwa Vita SC tena? Yaani umeshasema Kisinda alikuwa mali ya Vita SC halafu hapa unatuambia pesa imeenda kwa Wakala wake?
A new football business model?
Hivi TV au Radio Station ya GSM inayotangaza hayo mambo inaitwaje nami nianze kuifuatilia?
hawawezi kujibu swali kwamba djuma shabani yuko wapi? tuisila kisinda alikuwepo yanga kwa mkopo ama la? kilichobaki ni kupigian makelele tuJamaa katugea info ya maana ila katumia lugha ngumu kidogo,acha kuwa mbishi,kama una info iliyo sahihi zaidi rusha hapa.
basi jamaa anawanyoosha kwa mengi kweliAkimalizaga=βοΈβοΈ
Akimaliza = β β
Info ya maana?! Info haina ushahidi wowote bado unaita ya maana?! Hivi hayo manamba aliyoyaandika, wewe unaweza kushindwa kuyaandika na kusema kwa mfano, Kisinda analipwa laki 5?!Jamaa katugea info ya maana ila katumia lugha ngumu kidogo,acha kuwa mbishi,kama una info iliyo sahihi zaidi rusha hapa.
Cha maana ulichouliza ni kipi?hawawezi kujibu swali kwamba djuma shabani yuko wapi? tuisila kisinda alikuwepo yanga kwa mkopo ama la? kilichobaki ni kupigian makelele tu
Jamaa unaandika kama bata,ngoja nikupe tips chache za uandishi.hawawezi kujibu swali kwamba djuma shabani yuko wapi? tuisila kisinda alikuwepo yanga kwa mkopo ama la? kilichobaki ni kupigian makelele tu
Ukimaliza kunyooshwa na yule jamaa unakuwaga na akili sanaJamaa unaandika kama bata,ngoja nikupe tips chache za uandishi.
Ukiandika jina la mtu anza na herufi kubwa,mfano:Shaban Djuma,Tuisila Kisinda,Mukoko Tonombe.
Alafu usiwe na pupa ya kupost ulichoandika kabla ya kuhiriri ili ulichoandika kieleweke.
Ukianza kuandika sentesi pia anza na herufi kubwa,mfano:"Leo sitopiga nyeto',,au "Ikifika saa sita usiku nitakwenda kupiga chabo gesti",au " Mimi nina gundu nakataliwa hata na Mwajuma ndala ndefu"
Haya andika sasa nione kama umeelewa somo.
Jitahidi uwe unaweka nukta mwisho.alafu usepende kutumia"ga"mwisho wa neno.mfano:Unakuwaga[emoji777]=Unakuwa[emoji818].Ukimaliza kunyooshwa na yule jamaa unakuwaga na akili sana
Ukisikia kukimbia ndo huko jombaa!!nipo boss ......HAKIMBII MTU HAPA TUTAKESHA HADI SUBUHI.....sarpong kakaza huko anataka milioni 78 kuvunja mkataba matahjiri wenu wanamdanganya wampe mshahara wa miezi miwili asepe KAKATAAAAAA.mmetoa bilioni 1.2 kwa as vita mkashindwa kumalizia milioni 40 ya huyo Djuma? LIARA LIAR PANTS ON FIREEEEEEEEE
Kwahiyo kama mchezaji alikuwa kwenye klabu kwa mkopo, endapo Mchezaji huyo atauzwa, transfer fee inaenda kwa Wakala na Mchezaji?kama hujaelewa kwa nini umesema nimeongea kishabiki, ni kwamba tuisila kisinda anenda berkane ya moroco inayofundishwa na florente ibenge ,utopolo wanadanganya wamemuuza ila ukweli ni kwamba kisinda alikuwa yanga kwa mkopo so hela hii inaliwa na wakala wake na kisinda mwenyewe\
Hati hati tena?!! Au umesahau ulisema:-djuma shabani kuna hatihati ya kuja bongo GSm walikiuka masharti hawakumalizia usd 20,000 kabla ya august
Sasa kuna hati hati ya kuja au HAJI TENA? Au hiyo "haji" ulikuwa unamaanisha Haji Manara?djuma shaban haji tena baada ya kushindwa kumaliziwa usd 20k by august..take it from me.
Halafu nakumbushia swali langu: Ulitaka umuone Djuma huko Muhimbili, kwani ni lini Yanga ilitangaza imemsajiri Djuma?! Hizo habari ulizipata Mwamedi TV au Da' Babra TV? Hebu jibu hako kaswali kadogoWachezaji wote waliosajiliwa na simba,azam,yanga wako dsm an leo walikuwa muhimbili kupigwa chanjoya covid 19 teams zote 3 umemuona djuma shaaban?
wamekuita siyo karibu sana wanakusifia kwamba huwa unawanyoosha , jibu kwanza hoja zangu halafu tuendeleeeUkisikia kukimbia ndo huko jombaa!!
Nimekuuliza maswali kuhusu Kisinda na Djuma, hujajibu hata moja na matokeo yake umeamua kukimbilia kwa Sarpong π€£ π€£ π€£ π€£ !!
Jibu maswali niliyokuuliza kuhusu Kisinda na Djuma, kisha tuhamie kwa Sarpong!!
Na usisahau kujibu lile swali la Wakala wa Kisinda kuchukua transfer fee ya Kisinda wakati umeshasema Kisinda ni mchezaji wa AS Vita!!! Ndo maana nikakuuliza, ina maana kuna new football business model ambapo Wakala anachukua transfer fee??!!
Jibu hayo kwanza....
Kwahiyo kama mchezaji alikuwa kwenye klabu kwa mkopo, endapo Mchezaji huyo atauzwa, transfer fee inaenda kwa Wakala na Mchezaji?
Hati hati tena?!! Au umesahau ulisema:-
Sasa kuna hati hati ya kuja au HAJI TENA? Au hiyo "haji" ulikuwa unamaanisha Haji Manara?
Halafu nakumbushia swali langu: Ulitaka umuone Djuma huko Muhimbili, kwani ni lini Yanga ilitangaza imemsajiri Djuma?! Hizo habari ulizipata Mwamedi TV au Da' Babra TV? Hebu jibu hako kaswali kadogo
Kabla hujaendelea kutudai mbona Djuma hakuwa Muhimbili, tuambie kwanza ni lini na wapi Yanga ilimtangaza Djuma Shabaan kwamba mchezaji wake!!!hawawezi kujibu swali kwamba djuma shabani yuko wapi? tuisila kisinda alikuwepo yanga kwa mkopo ama la? kilichobaki ni kupigian makelele tu
Hilo swali usirudie tena kuuliza , hata wanaokutetea wanakushangaa.Yaani unavyoliuliza utadhani huko utopoloni team inaendeshwa kwa utaratibu,yale mapicha na jezi kule congo waliyorelease Gsm hukuyaona kavaa jezi anasaini?Kabla hujaendelea kutudai mbona Djuma hakuwa Muhimbili, tuambie kwanza ni lini na wapi Yanga ilimtangaza Djuma Shabaan kwamba mchezaji wake!!!
Hoja ipi?! Itaje hapa....wamekuita siyo karibu sana wanakusifia kwamba huwa unawanyoosha , jibu kwanza hoja zangu halafu tuendeleee
issue za utopolo ziko nyingi sana siyo sarpong tu hata babu Hans keshawashtaki huko anataka hela zake
Weka screenshot au video/audio clip kuhusu Yanga/GSM kusema hizo unazoita propaganda!!propaganda zenu hazinitoi kwenye rail..Where is Djuma shaban kama mlitoa 1.2 billions
Weka screenshot au video/audio file ya hayo madai yako!!! Yaani unataka kudanganya watu wewe unajua mambo ya usajiri wa timu zooooooote Tanzania hii, na viwango vyao wakati Tanzania hawana utamaduni wa kutaja viwango!!!mbona usd 20k ya kumalizia kwenye 45 usd k haikutoka on time?
Safi sana unajua kuchambuaSource yako ni Mwamedi au Babara? Btw, nimebisha au nimekuambia tofautisha kati ya signing fee na transfer fee!!! Wewe umedai Propaganda Machines za GSM zilisema thamani ya Djuma ni Sh 1.2 Billion!!!
Now tell me, hiyo 1.2Billion ni transfer or signing fee?
Halafu ngoja... nimegundua unakwepa baadhi ya maswali... huwezi kukimbia kirahisi namna hiyo!!!
Ulisema Tuisila ni mali ya AS Vita; sasa how come tena transfer fee ikaenda kwa wakala? Au ulimaanisha signing fee ndiyo ilienda kwa wakala?
Hebu nioneshe post kutoka Yanga au GSM inayosema Djuma Shaaban amesajiriwa na Yanga!!!
Utaandika sana magzeti bwashee unatarajia Gsm atoke leo kusema Djuma kachomoa karudisha advance money 25 k usd?Hoja ipi?! Itaje hapa....
Au umesahau ni wewe ndie hujajibu yafuatayo:-
1. Lini na wapi Yanga ilitangaza Djuma Shabani ni mchezaji wake?
2. Lini na wapi Yanga ilitangaza imemnunua Djuma Shabani kwa $500K?
3. Kama Kisinda alikuwa Yanga kwa mkopo, na hivi sasa anauzwa huko Morocco; sasa how come transfer fee iende kwa Wakala na Mchezaji as if hakuwa chini ya klabu yoyote?
Nimekuambia kabla hujaleta habari za akina Sarpong, mara Molinga, jibu hayo maswali matatu kwanza!!!
Weka screenshot au video/audio clip kuhusu Yanga/GSM kusema hizo unazoita propaganda!!
Weka screenshot au video/audio file ya hayo madai yako!!! Yaani unataka kudanganya watu wewe unajua mambo ya usajiri wa timu zooooooote Tanzania hii, na viwango vyao wakati Tanzania hawana utamaduni wa kutaja viwango!!!
Yaani unajua habari za ukweli na za uongo kuhusu madau yanayolipwa na Yanga, Simba, na hadi Azam?! Acha habari zako bhana!!! Yaani unaokoteza vi-post vya Instagram ndo unavileta hapa?!
Sasa ndo madudu gani umeyaweka hapa?! Nimekuuliza ni wapi Yanga au GSM walimtangaza Djuma Shabaan kama mchezaji wa Yanga, ndo unaweka huo kama ushahidi?!Hilo swali usirudie tena kuuliza , hata wanaokutetea wanakushangaa.Yaani unavyoliuliza utadhani huko utopoloni team inaendeshwa kwa utaratibu,yale mapicha na jezi kule congo waliyorelease Gsm hukuyaona kavaa jezi anasaini?
Na kwa taarifa yako hiko ndicho kimemuudhi sana kwa sababu walikubaliana by august amaliziwe dollar 20k iliyobaki ili atangazwe rasmi akashangaa kuona picha zimeachiwa ili kutuliza munkari ya wana kidimbwi ambao kwa miaka 4 sasa huwa wana furaha kupitiliza ifikapo kipindi cha usajili
**picha ya chini ni kumbukumbu ya keeper bora kabisa aliyefananishwa na De gea***alileta furaha sana kipindi cha usajili
View attachment 1886697
Acha uboya wewe!! Yaani unashindwa kuweka source kwa taarifa ambazo hazina hata miaka 3 badala yake unatuletea vipande vya gazeti la tangu 2018 ambalo halitoi hata nukta ya maswali niliyokuuliza?!Utaandika sana magzeti bwashee unatarajia Gsm atoke leo kusema Djuma kachomoa karudisha advance money 25 k usd?
Unatarajia wasema Sarpong kakataa kuvunja mkataba bila milioni 78?
Ulichokisoma kwangu ni sawa na kidonge kichungu kimeze tu kama vile propaganda za Gsm zinazolipiwa kwa maulid kitenge, Priva..gazeti la mwanaspoti basi vumilia tu utachokisoma
na mwendo ni huuu huuu hadi huu mwezi uishe fasten your belt bwashee brace yourself for the bumpy ride
UNAJUA MAANA YA MANENO PICHA YA CHINI NI KUMBUKUMBU?WE BWEGE KWELI WEEESasa ndo madudu gani umeyaweka hapa?! Nimekuuliza ni wapi Yanga au GSM walimtangaza Djuma Shabaan kama mchezaji wa Yanga, ndo unaweka huo kama ushahidi?!
Anyway, hebu tuangalie hapa:-
View attachment 1886706
Rodwell mTZ,
Yule "Mkali" wako wa info ndo huyu hapa!!! Baada ya kumbana aweke ushahidi, kaja kuweka gazeti la Mwanaspoti la Mwaka 2018 akidhani watu hatutafahamu π π π€£ π€£ !!!
Sasa ni nani basi mpiga propaganda kati yako na akina GSM?! Yaani unatuletea magazeti ya 2018 ku-support uongo wako unaoutoa 2021?!
Sa' unapiga uongo wote huo kwa manufaa ya nani?!