MkuuNi kweli kabisa!
Nimeona jinsi Hamisa Mobetho anavyolitumia jukwaa kumuweka karibu Aziz ki katika matukio matatu viwanjani hivi majuzi na ieleweke kwamba GSM na JK wanaitumia Yanga kuwa karibu na CCM Samia ili watimize malengo yao kule Bandarini.
na majuzi.
Kwanza story yake kama kautungua darini na kuishusha sakafuni utafikiri wakati akiidungua tulikuwa wote,wengine sisi ni kolo sijui analijua hilo๐Uzi bila picha ufutwe
๐๐Kwanza story yake kama kautungua darini na kuishusha sakafuni utafikiri wakati akiidungua tulikuwa wote,wengine sisi ni kolo sijui analijua hilo๐
delila hamisa mobeto anatumika kumbakisha ki yanga. Delila atafanikiwaHakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.
GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.
Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
Mahiii wanadai eti long distance ilikuwa changamoto wakaachana but ni marafiki wazuri tu.Kumbe kevoo alishaachwa, jameni mbona alikuja nchini kwa kishindo sana....alikwama wapi sasa.
Kwa stori za udaku nakuamini sana huna mpinzani nchini na zote ni za kweli,ila kwa vile una D mbili umeekewa,Ki anashika pembe tu mkamuaji mwingineUjinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.
Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.