Tetesi: GSM wanavyomtumia Hamisa Mobeto kurudisha mamilioni atakayopewa Aziz Ki

Tetesi: GSM wanavyomtumia Hamisa Mobeto kurudisha mamilioni atakayopewa Aziz Ki

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.

GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.

Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
 
Ni kweli kabisa!
Nimeona jinsi Hamisa Mobetho anavyolitumia jukwaa kumuweka karibu Aziz ki katika matukio matatu viwanjani hivi majuzi na ieleweke kwamba GSM na JK wanaitumia Yanga kuwa karibu na CCM Samia ili watimize malengo yao kule Bandarini.



na majuzi.
 
Ni kweli kabisa!
Nimeona jinsi Hamisa Mobetho anavyolitumia jukwaa kumuweka karibu Aziz ki katika matukio matatu viwanjani hivi majuzi na ieleweke kwamba GSM na JK wanaitumia Yanga kuwa karibu na CCM Samia ili watimize malengo yao kule Bandarini.



na majuzi.
Mkuu

Umepotea,hutoi thread siku hizi!

Mmekubali wahuni waendeleee na project zao !!?au mpo chinmbo mnajiandaa na mpangokazi mpya!!?

Ishu ya Mobeto na Azizikii ni ujasusi wa kiuchumi!!
 
GSM hategemei hata project ya yanga, Wana hela more than they can remember, Hawa wamejikita kwenye mpira kulinda maslahi yao tu


Kwa io unataka kusema hamisa akimchuna Aziz k lets say ka milioni 5 anatakiwa kukapeleka GSM?
 
Hakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.

GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.

Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
delila hamisa mobeto anatumika kumbakisha ki yanga. Delila atafanikiwa
 
Ujinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.

Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.
 
Kumbe kevoo alishaachwa, jameni mbona alikuja nchini kwa kishindo sana....alikwama wapi sasa.
Mahiii wanadai eti long distance ilikuwa changamoto wakaachana but ni marafiki wazuri tu.
Kwani wakati wanaanza hawakulijua hilo?

Hamisa nampenda kile kishindo nilishangilia mwenzenu tumepata lishemeji la maana, loh!
 
Ujinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.

Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.
Kwa stori za udaku nakuamini sana huna mpinzani nchini na zote ni za kweli,ila kwa vile una D mbili umeekewa,Ki anashika pembe tu mkamuaji mwingine
 
Back
Top Bottom