GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara


Yalitokea kitu gani mbona hawajafafanua?
 
haha sawa ....wenzetu wasenegali wapo siku ya mapumziko kuwapokea mabingwa wao wa afcon.
 
kuna athari yoyote katika maamuzi haya katika soka? au wameona kwao mambo hayataenda kama walivyopanga?
 
Hahaha angalau timu ziliweza toa ushindani kwa timu kubwa, yanaenda kujirudia ya timu A kukodiwa fuso na timu B alafu wanaipiga 8 bongo ngumu mno
Kwa hizo milioni 3.5 kwa mwezi? Wacha uzwazwa
 
Unauhakika GSM alizitoa hizo pesa.
 
Kupitia mkutano na wanahabari uliofanyika jioni ya leo, kampuni ya GSM imetangaza kujitoa katika udhamini wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
 
Mwamedi ana roho mbaya Sana imejaa uhindi mwingi sana.

Huu udhamini anadhani anaikomoa yanga kumbe anazikomoa team ndogo zinajiendesha zenyewe tu,

Hata alikiba na kile kinywaji alichokuwa partner mudi alienda kuharibu na kumchomea utambi..

Soka la bongo ni kichefuchefu sana
 
k
kushney babu jiiiii 😹😹😹😹

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…