Guardiola amekuja England kwa wakati sahihi kwake.
Amekuja na kukuta makocha wenye kumpa upinzani ni wachache sana.
Mourinho anapaki basi.
Wenger nyakati zake zimempita, alipaswa kustaafu siku nyingi.
Conte ni mbahatishaji, kuna muda nashindwa kumtofautisha na Mourinho.
Klopp hana consistency, anaweza akashinda leo 7-0 afu wikend akatoa suluhu ya 0-0.
Atleast, Pochetinno ambaye anafundisha mpira mzuri ila tatizo yupo kwenye average team yenye kikosi kidogo sio kipana.
So Guardiola lazma atambe, lakini raundi ya pili bado na ndio huwa ngumu mno.
Tukutane may wakati bingwa atakapotangazwa!