Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mendy majeruhi...Mbona wakati huu timu nyingine wanaumia ila Manchester City hawaumii? Inaweza ikatokea kwao pia...
Kiongozi ninamaanisha majeruhi yatakayo gusa moyo wa timu 😀 Bruyne, Silva et al.Mendy majeruhi...
Stones majeruhi...
Kompany majeruhi...
Au unamaanisha majeruhi gani Kiongozi..!?
Kwann unataka waumie?Kiongozi ninamaanisha majeruhi yatakayo gusa moyo wa timu 😀 Bruyne, Silva et al.
Witch ni wa kike baba muite wizardHe is a witch trust me!!
Sitaki waumie ila hayo ni maisha ya sokaKwann unataka waumie?
Sitaki waumie ila hayo ni maisha ya sokaKwann unataka waumie?
Sema na mwaka jana CHELSEA ALIONGOZA KUANZIA KIPINDI GANI NA JE ALISHUKA AU NDO ALIKAA MAZIMA acha uroginakumbuka msimu wa 2011/12 Man U walikuwa mbele kwa point 8 kumzidi Man City huku zikiwa zimebaki mechi 6 tu ligi kwisha.
badala yake ni Man City ndiye aliyebeba ndoo ya EPL.
sasa hivi Man City wapo mbele pointi 11 na mechi zimebaki zaidi ya 20.
wacha EPL iitwe EPL!
Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.
Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Mtu aliyeichukua timu ikiwa imeshika nafasi ya nne kwenye ligi na kwenda kuanza nayo kwenye hatua ya mchujo uefa mpaka anakuja kuchukua treble yaani from trophyless to treble unasema hamna alichofanya na siyo treble alifika mbali zaidi mpaka sixtupe (makombe sita kwa msimu mmoja) wakati madrid imewachukua miaka 105 kuja kuchukua makombe matano kwa msimuKwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.
Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Ahsante mkuuMtu aliyeichukua timu ikiwa imeshika nafasi ya nne kwenye ligi na kwenda kuanza nayo kwenye hatua ya mchujo uefa mpaka anakuja kuchukua treble yaani from trophyless to treble unasema hamna alichofanya na siyo treble alifika mbali zaidi mpaka sixtupe (makombe sita kwa msimu mmoja) wakati madrid imewachukua miaka 105 kuja kuchukua makombe matano kwa msimu
Mtu aliyewatimua mastar wote wa timu wakati anaichukua gaucho, deco na etoo alinusurika baada ya kukosa timu ila naye msimu uliofatia akaondoka akaform partnership ya xavi,iniesta na messi huoni alichofanya?
Mpeni heshima yake Pep
Kivip,mbona EPL mara nyingi tu epl ,mtu anaachwa point 10+ na anakutwa,