Guardiola ameiumbua E.P.L

Guardiola ameiumbua E.P.L

Tumpe muda na misimu mingi zaidi ili tuone ubora wake kama utadumu au itakuwa wa mpito, mambo hubadilika, wapi Claudio Ranieri? Conte je? Morinho? Mambo hubadilika
 
nakumbuka msimu wa 2011/12 Man U walikuwa mbele kwa point 8 kumzidi Man City huku zikiwa zimebaki mechi 6 tu ligi kwisha.
badala yake ni Man City ndiye aliyebeba ndoo ya EPL.

sasa hivi Man City wapo mbele pointi 11 na mechi zimebaki zaidi ya 20.

wacha EPL iitwe EPL!
Sema na mwaka jana CHELSEA ALIONGOZA KUANZIA KIPINDI GANI NA JE ALISHUKA AU NDO ALIKAA MAZIMA acha urogi
Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.

Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
 
Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.

Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Mtu aliyeichukua timu ikiwa imeshika nafasi ya nne kwenye ligi na kwenda kuanza nayo kwenye hatua ya mchujo uefa mpaka anakuja kuchukua treble yaani from trophyless to treble unasema hamna alichofanya na siyo treble alifika mbali zaidi mpaka sixtupe (makombe sita kwa msimu mmoja) wakati madrid imewachukua miaka 105 kuja kuchukua makombe matano kwa msimu
Mtu aliyewatimua mastar wote wa timu wakati anaichukua gaucho, deco na etoo alinusurika baada ya kukosa timu ila naye msimu uliofatia akaondoka akaform partnership ya xavi,iniesta na messi huoni alichofanya?
Mpeni heshima yake Pep
 
Mtu aliyeichukua timu ikiwa imeshika nafasi ya nne kwenye ligi na kwenda kuanza nayo kwenye hatua ya mchujo uefa mpaka anakuja kuchukua treble yaani from trophyless to treble unasema hamna alichofanya na siyo treble alifika mbali zaidi mpaka sixtupe (makombe sita kwa msimu mmoja) wakati madrid imewachukua miaka 105 kuja kuchukua makombe matano kwa msimu
Mtu aliyewatimua mastar wote wa timu wakati anaichukua gaucho, deco na etoo alinusurika baada ya kukosa timu ila naye msimu uliofatia akaondoka akaform partnership ya xavi,iniesta na messi huoni alichofanya?
Mpeni heshima yake Pep
Ahsante mkuu
 
ligi bora na yenye ushindani barani ulaya

Naona imekua one horse race? ni zaidi ya ligi yoyote barani ulaya kwa kua ligi ya mshindani mmoja tu.
Twambieni nini kimesibu
 
Back
Top Bottom