SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Zinarudi hizoKama leo kashapigwa 2 tayari!
Labda renin and pepsinGo Pep
HahahaLabda renin and pepsin
Mnooo[emoji23][emoji23][emoji23]Guardiola anapitia kipindi kigumu
Atabeba nini?[emoji849]Mkuu.
Umejuaje kama Guardiola atabeba UEFA msimu ujao?
Mimi nina uhakika atabeba EPL,hii ni kwasababu ya kikosi kipana alichonacho,pia kwasababu EPL sio maahindano ya mtoano.
Yaya toure anatoka kusini mwajangwa LA sahara?,unamanisha ivory coast ikohuko!!!!.....watu wanavosema jamiiforum imevamiwa nilikuwa sijaelewa.naza kuelewaAnabagua Wachezaji wa kutoka Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara (Weusi), Mfano mzuri ni Yahya Toure na Etoo