marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Bora muwaambie na lyon wamejua kuwafunga midomo wapashkuna et ligi ya wakulima[emoji1787]
πππPep guadiola ni kocha wa kawaidaaaaa mnoooooooo
πππ
πππIwe fundisho kwa watoa mada wa hisia zao badala ya uchambuzi wa kina na kupambanua mambo halisi yalivyo, sasa kamhamishe huyo Guardiola ili msipate aibu wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππTeam haina hata uwezo wa kubeba EPL msimu huu halafu unamsifu Guardiora
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado upo hai mkuu?Go Pepsi
Nipo hai!Alieanzisha huu uzi bado yupo hai?
Aje ku-verify maneno yake
Nimekuja kuufufua kwa maji ya Mwamposa.Uzi umekufa
πππBongo hakuna wachambuzi wa soka bali kuna washabiki tu
Pep alisoma huu uzi!Go Pep!
Nimekuja kufuta huu uzi mkuu, njoo unisaidie maelekezo jinsi ya kufuta.Man U tushamtungua uko 2-1 futa huu uzi wako tafadhali.
A yu shua?Huyu alishazoea ligi nyepesi anashinda gane zote kaja ligi ya wanaume anauona moto sasa.
Ulikuwa na kiherehere, ungetulia kidogo.Kama kawaida, sisi tunafukua makaburi tuu
Majogoo yalikuwa yanabeep, Pep amewapigia.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Majogoo yemefukua uzi
Aliweza mkuu, sijui kama ulipata taarifa!?Awezee wapi? [emoji23]