vp ulienda mkuuPAKO VIZURI AISEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vp ulienda mkuuPAKO VIZURI AISEE
NILIFIKIA HAPO SIKU MOJAvp ulienda mkuu
okay safi mkuu....NILIFIKIA HAPO SIKU MOJA
gesti au machangudoa?
elfu 30
Siku nyingine ukijisikia nistue tukacheki moja wapo ya ulizorodhesha mama.Lazima hiyo....zote nimeziandika kwenye notebook! Mmenifurahisha huu Uzi!
Sasa zamu ya shemeji yenu kumzururisha yaan ni kata mti panda mti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu ameolewa anasemaSiku nyingine ukijisikia nistue tukacheki moja wapo ya ulizorodhesha mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu Uzi si kwa ajiri ya kujificha na wake/waume za watu!!!huyu ameolewa anasema
aka uzi ufutwe??
Hongeranashukuru mungu sina vigezo vya kuchangia uzi huu,hii ni dalili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaaah kama haina emergency door hiyo haifai.Ila pamekaa ki hatari ukifumaniwa kusepa kwake kugumu, wangekuwa na tu emergency doors kule nyuma ya uwanja wa mchanga uki escape safely unapitia na kadi ya ccm kabisa pale tawini.
Nakupenda pia.
Hii Haipo Sinza kweli?mbona hujaitaja MACHIMACHI GUEST HOUSE......maarufu sana hii hapo kinondoni makaburini
Imasko ipandishwe hadhi kuwa Hoteli ya kimataifaKiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.
Body without head