Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Likitokea tetemeko la Ardhi mnakimbia na kujitia kumuomba Mungu....kumbe nyinyi wenyewe ndio mnaozikarisha laana...Yani nyinyi mnapiga kampeni watu wachukuliane wake zao/waume zao......Ni vyema endeleeni
 
laiti akili zingekuwa transparent tukawa tunaona wanayofikiria watu.......!
 
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
Naona Matangazo ya uhalifu bora nimbeep Kova
 
Imasco ipo mkuu wameiboresha sana, na jamaa mbunifu sana naona anawateja wengi sana hasa jumamosi pia kuna ukumbi wa sherehe na harusi.
Body without head
Hizo Harusi si watatufuma?
mm naona Bondeni G/House Magomeni Mapipa Bondeni ya zamani si hii ghorofa
 
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.

Wewe ------- kabisa, sasa ushatoa siri zote maana yake nini? Wadau hizo sehemu tajwa sio salama tena kwasisi wezi wa wake za watu, jamaa kazianika zite hewani sasa wenye wake zao wayakuwa wakipita kuchungulia maeneo hayo au wataweka mashushushu, kaharibu kabisa kiwanja changu conway hotel, itabidi nihamie kiwanja kingine magomeni kagera nyuma ya oilcom, sikitaji jina kwaajili ya usalama
 
Wewe ------- kabisa, sasa ushatoa siri zote maana yake nini? Wadau hizo sehemu tajwa sio salama tena kwasisi wezi wa wake za watu, jamaa kazianika zite hewani sasa wenye wake zao wayakuwa wakipita kuchungulia maeneo hayo au wataweka mashushushu, kaharibu kabisa kiwanja changu conway hotel, itabidi nihamie kiwanja kingine magomeni kagera nyuma ya oilcom, sikitaji jina kwaajili ya usalama

Hahaha hahahaha!
 
Hahahaha kuna moja ipo kule kinyerezi barabara mpya mkono wa kulia nikijaga dar huwa naendaga, sema kwenye vyumba vyao hamna network...

Ipi hyo?! Ile nyeupe yny geti jeusi au?! Ukipiga honi mlango unafunguka automatic?!
 
Sometimes shetani a nashangaa binaadamu wanavyofanya madhambi na ku plann madhambi kumshinda yeye. Mungu wasamehe waja wako hawa.
 
Back
Top Bottom