Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.

Usijali saana Leo nitakuwa na mkeo au dadayako nikikosa ntakuwa na bimkubwa wako ntajificha ili usinione na wewe.
 
Ukiwa unatembea huwa unafumba macho???zingine tunazisoma tu njian mkuu......!!!
Sio mpango wa nje bwana shem wako ni auditor so akiwa anasafir kikaz nami mara moja moja anaenda kuniAudit!!!

Naomba nimsaidie kufanya Quality review kwa ku-kuaudit wewe. Ha haa haa.
Next time mkija mbeya mnitafute
 
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.


Asante sana mkuu kwa kutujuza....


Siku mamsapu wangu akichelewa kurudi tu.....break ya kwanza maeneo haya mliyotaja.


MIZAMBWA
INANUMA SANA!!!
 
we Blessing inaelekea mzoefu sana wa mambo haya ya wz na fumaniz mana had sehemu za usalama unazijua du
 
Last edited by a moderator:
mbona hujaitaja MACHIMACHI GUEST HOUSE......maarufu sana hii hapo kinondoni makaburini
 
zote hizo ziko barabarani main road kasoro kibadamo waingia ndani kidogo hiyo ya sinza mori siijui.Mimi kama naiba mume wa mtu atanikoma ntakavyomficha lol

njoo uniibe mimi
hehehheheheh
 
Blue bird vipi?

mkuu hii nilikuwa naenda enzi za Chuo miaka ya 1995-2000, unatoka Silent Inn Faculty Day kula Ikibinda Nkoyi wana Diamond Sound, unakuta channel ya pono mwanzo mwisho. Ipo bomba sana ila sina uhakika na huduma zake kwa sasa
 
Kuna gesti inaitwa "Kubanduana Guest House" iko Mwananyamala kisiwani iko vizuri sana
 
Back
Top Bottom