Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Kwa wanaofuatilia habari mbali mbali nadhani mmeona skendo hiyo ikitikisa bara letu la giza.

Pamoja na jambo hilo kuonekana la kushtusha,ila watu wa jinsi hiyo wapo wengi na hata hapa kwetu Tanzania wapo.

Wasichana na wanawake hawaoni tabu kutembea na mtu maarufu na wengine ili mradi walipwe pesa tu.

Kuna maafisa wanaoishi kwa utaratibu huo na wana wanawake idadi ya kutosha kwa vile wanaweza kuwahudumia.

Kuna kundi kubwa na wasichana wamehamia Dodoma kutega wakiamini huenda wakapendwa na maafisa hao wasijue kwamba watu kama hao ni watu hatari kutokana na kutoridhika kirahisi hata wanawake wakiwa 400.

Tabia hii ni hatari na ili angalau ipungue kwenye hizi ofisi za umma,viongozi wa juu wakemee vikali na kuchukua hatua kali zikiwemo za kuwafukuza kazi maafisa hao.

Hata hivyo nakiri kuwa hii ni ngumu sana kwa kuwa wanaotarajiwa kupeleka miswada ya sheria huenda ni wanaume hawa hawa tunaowaona ni hatari.

Wanawake acheni tamaa mbaya mnajidhalilisha sana. Ombeni Mungu awape roho ya utoshelevu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hasa wenye hela za kuiba serikalini na kupora watu esp wasiojulikana
 
Ni ngumu kuamini huyu jamaa alikua anafanya sex ritual,maana si kawaida ulale na wanawake 400 urekodi..vipi wale aliokua anawala off camera? Mhh kweli pesa si kila kitu maana hadi wanawake wa vibosile wamepelekewa moto.
 
Ila hao wanawake wote walioolewa kwa nini walikuwa wanakubali?

Speaks more about their character than the guy’s licentiousness.

And the whole story, for lack of better words, sounds too good to be true.

400 sextapes? With other people’s wives [OPP]?

Maybe…..
Hio inaongea wazi kwamba money will always give you women but manners will give you a wife.

Wanawake wengi wa kiafrika wanaolewa ili kutimiza malengo yao ila si upendo wa kweli. Ni ngumu kumrubuni mwanamke ambaye ana upendo wa kweli na mumewe na anajiheshimu.
 
Huyo kazaliwa mwaka 1970.
Ni mkuu wa masuala ya upelelezi wa kifedha. Ni kama boss wa takukuru ya huko kwao. Ni tajiri sana wanasema ana majumba mengi sana. Na ana pesa nyingi mno. Kuna blog moja (sina uhakika) wamemhoji mdada mmoja aliyeliwa ofisini juu ya meza anasema alipewa usd10,000 ili kuliwa ofisini juu ya meza.
Hio $10,000 hapa bongo nani ambaye hatachanua mapaja🤣? Anzia kwa Niffer mpaka Socialites wengine wengi pamoja na bongo movies 😂!

Who can turn down 29M offer just for casual sex?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom