Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.


Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.

Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.

=========

The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.

Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.

He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.

During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.

These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.

He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.

Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.

Source: Ahora EG
Africa hasa Tanzania mambo mengi ya kipumbavu ndio yanapata headlines....Mambo ya msingi yanaonekana hayana maana halafu mwisho wa siku watu tunakuja kuilamu serikali.
 
Em ukipata na mi naomba nione!
IMG-20241105-WA0019.jpg
 
Hapa ndipo ule usemi wa bora ukose mali, upate akili unapokuwa na mashiko sasa. Mtu na akili zako timu unajirekodi wakati wa kufanya hilo tendo, ili iweje sasa!
Ili ukiondoka arudie kuingaria na aendelee kuyahesabu mmefika wNgapi ndo furaha yake au rafiki yake asimbishie km flani hajamla
 
Wewe ni mkomavu, mambo umeyaeleza kwa akili.

Na hilo la mwisho sijui maiti kufanyaje, mi nimeshuhudia huo mkasa.

Tumeweka kambi njiani kupumzika ili kesho tuendelee na msafara wa kusindikiza maiti tukielekea kwao kuzika, jamaa likamchukua mfiwa, yaani mke wa marehemu na kufanikiwa kwenda kumlala!

Hilo lilinifikirisha sana namna ya kuziweka kwenye uzani akili za mjane wa marehemu, kwamba alikuwa na utulivu gani wa akili kupelekea kuridhia kitendo hicho, au alikuwa na chuki na marehemu mumewe, sikupata jibu.

Hili la Baltasar naona ni cha mtoto, bila kufanya mambo ya kiGwajima asingelijulikana kudadeki.
Hahahaja haya mambo yapo mkuu
 
💝 Kuna uhakika zaidi ya asilimia 90 wa kufanya mapenzi na mwanamke wa rika, umri, uwezo na marital status yoyote endapo utakuwa na fedha nyingi au cheo kikubwa.

💝 Women also cheat.

💝 Ndoa sio institution tena, ndoa imekuwa status.

💝 Hakuna kitu more powerful kuzidi pesa zaidi ya ngono.

💝 Kama kawaida anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake.

💝 Wanaume wana watoto nje ya ndoa, Mwanamke ana watoto wa nje ya ndoa ndani ya ndoa.

💝 Moja ya vitu hatari duniani ni fantasies za mwanaume mwenye pesa na imagination za mwanamke mwenye tamaa na njaa.

💝 Mwanaume ni sex machine inayotembea. Anaweza akamla mtoto wa mfiwa siku ya matanga kwenye chumba alicholaziwa marehemu.
Umemaliza 100%✓
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom