Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu.SEMA jamaa kanifundisha kitu positive.
Kanifundisha kutokuwa na papara katika makulaji.
Kila mwanamke anayekunwa naye anagugumia kwa utam.
Video zake hazichoshi.
Ila kanishangaza kitanda fulani kinapiga kelele sana kama cha uswazi.
Hongera Baltasar
Hiyo ya mwisho Nina ushuhuda🤣💝 Kuna uhakika zaidi ya asilimia 90 wa kufanya mapenzi na mwanamke wa rika, umri, uwezo na marital status yoyote endapo utakuwa na fedha nyingi au cheo kikubwa.
💝 Women also cheat.
💝 Ndoa sio institution tena, ndoa imekuwa status.
💝 Hakuna kitu more powerful kuzidi pesa zaidi ya ngono.
💝 Kama kawaida anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake.
💝 Wanaume wana watoto nje ya ndoa, Mwanamke ana watoto wa nje ya ndoa ndani ya ndoa.
💝 Moja ya vitu hatari duniani ni fantasies za mwanaume mwenye pesa na imagination za mwanamke mwenye tamaa na njaa.
💝 Mwanaume ni sex machine inayotembea. Anaweza akamla mtoto wa mfiwa siku ya matanga kwenye chumba alicholaziwa marehemu.
Tupe mkuuHiyo ya mwisho Nina ushuhuda🤣
Huyu mwamba P Diddy mtupu kasoro mafuta tu🤣🤣🤣Kisa cha kigogo wa serikali ya Guinea ya Ikweta, Baltasar kuhusishwa na matukio ya kufanya ngono na zaidi ya wanawake 400 huku wengi wakiwa ni wake za wakuu wa utawala...
U mate mate kwa sanaHuyu mwamba P Diddy mtupu kasoro mafuta tu🤣🤣🤣
Ndiye! Sijui yuko wapi siku hizi.Kwani ndio huyu mleta maada nimemkumbuka huyo memba aisee
Nani amesema hivi?Nashangaa watu wakimsema huyu mwamba vibaya.
Wale wote wanawake ni watu wakubwa kiumri, vyeo na kifedha.
Kwamba huyu mwanaume anaonekana shetani,
halafu wale wanawake 400 ni malaika!
#Justice for Baltasar Ebang Engonga.
Kama tunaamini yote yanayosemwa, ni kwamba huyo bwana kamchiti mkewe.Nashangaa watu wakimsema huyu mwamba vibaya.
Wale wote wanawake ni watu wakubwa kiumri, vyeo na kifedha.
Kwamba huyu mwanaume anaonekana shetani,
halafu wale wanawake 400 ni malaika!
#Justice for Baltasar Ebang Engonga.
Luck dube aliwahi semaDaaa! Baltazarization, huu mwamba ni hatari sana. Umekula wanawake zaidi ya 400, nimeamini kuanzia leo kuwa adui wa mwanaume ni mwanaume mwenzake.
Daaah wabongo kwa uongo mpo vzrKawala sana mitaro wake za vigogo na wanawake wakurugenzi
Ova
Kwani WANATAKA nini bro?
Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka
Nasemaje Nasemaje! 1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi 2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana 3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa...www.jamiiforums.com
Je huyu mwanamke mwenzenu yupo sahihi au anapotosha?Sawasawa
Na unaweza kuta mkewe haliwi na yeyote yule zaidi ya huyo mumeweWell, usikute naye mkewe analiwa na wengine…
Kwa uzoefu wangu, hayo mambo ndo yalivyo.
Yeye anakulana na wake watu wengine huku mkewe naye anakulana na njemba zingine 🤣.