Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Kama baltasar kawala sababu ana pesa nyingi, embu explain hiki maana amekula mke wa mwanasheria mkuu, sijui dada ake raisi, na wake za viongozi wakubwa serikalini, unataka kuniambia hao wanawake wanaume zao hawakua pesa? Labda na dada zangu mu- Explain this Sappire To yeye Makiwendo Kelsea Ms R Numbisa Madame B
wengi wanadhani kila mwanamke anajiuza kulingana na sample wanazopita nazo,pole yao.
 
Wanawake wadhaifu sana kwa mtu mwenye pesa.mfano tuchukulie tajiri afrika aliko dangote Kuna mwanamke yeyote mtanzania anaweza kumkataa akimtaka?lazima ataenda Naye tu.
Kwamba, Mke wa makamu wa raisi alifata pesa kwa Mwamba sio. Hakuna kitu mama hicho.

Mwamba anakaupepo kake tu, watoto wa kike wamekaelewa wakaamua kumtunuku.
 
Wanawake wadhaifu sana kwa mtu mwenye pesa.mfano tuchukulie tajiri afrika aliko dangote Kuna mwanamke yeyote mtanzania anaweza kumkataa akimtaka?lazima ataenda Naye tu.
aliwahi kunaimbia binamu yangu wa kike.."mwanamke hawezi kumkataa mwanaume mwenye pesa"na nimeishi nimeyaona,nimetongozwa sana kutokana na pilika zangu za kugawa ofa na kutoa pesa ovyo,wanawake si wake za watu ama wachumba ama wavaa ushungu kama Faiza wote wanajilengesha tu,tena ogopa tongoza ya mwanamke Huwa hawaongei maneno mengi,ni sentesi chache halafu kwa kushitukiza huku hakuangalii usoni ,imetoka hiyo....huchomi aisee
 
Binafsi nilijuwaga ni story TU hasa hapa Jf nikijua hakuna kitu kama icho ( sijawahi ku experience au kudate na demu anayemwaga mimaji ya dawasco )

Ila ishukuriwe connection ya Mr....baltasar ( mfalme wa guinea ) nimethibitisha ni kweli wakuu, Kuna mademu wanamwaga Lita za kutosha

Ningewawekea hapa na nyingi muone ila ndio Sasa haiwezekani.....ila jamaa anachapa yule, nadhani hizi connection zimemuongezea umaarufu maradufu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom