Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................


Nazidi kukubali kwani analysis yako mara nyingi inanikuna! Hapa hakuna anayemfahamu fika mwenzake. Binafsi na-deal na situation badala ya kuanza kutumia theories na hadithi za mababu!

Hata hivyo nakumbuka sana kauli yako, "mwanaume anaye-supplicate kwa mwanamke hatakiwa hata siku moja"


Kweli kabisa Boss, maisha mazuri ya ndoa ni bahati. Mara nyingi tunapoingia kwenye ndoa, kuna kiwango fulani cha kamari. Hata ujitahidi kiasi gani, ndoa ikitaka kugoma itagoma tu. Haya ya FL1 nadhani ni mambo yake binafsi. Amshukuru sana Mungu kama ndoa yake ina-fit hiyo model. Vingivevyo sioni kama kuna kitu uanweza ku-generalise kwenye mambo ya ndoa.
 
Mwanamke anavutiwa na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...

Kakudanganya nani??wengine utasikia mimi nashida ya nyama ya ulimi!!!Basi unabaki unamtizama kesho anakupa hadithi fulani kanunuliwa Vits!!Maanake nawewe kamtungulie Opa au Staret!!Jamai huu nimwezi4 tu kumeshaanza kuwa hapatoshi kwakuwa umeona mwenziyo ana Vits ujui nini siri ya hiyo Vits lakini Amani ndani inapotea eti kisa kwakuwa anaona unaouwezo wakumudu kununu hizo Opa,Vits nk.😡
 
No way siombi msamaha kwa mtu yoyote. Wanawake wote ni wapuuzi katika dunia hii. Iwe alikuzaa, atakuzaa ama aliwazaa so long as ni mwanamke ni mpuuzi full stop.

Dunia bila wanawake ingekuwa na amani kubwa sana.
hehehe greti thinka inabidi upunguze dozi ya salad (bange) kidogo!
 
umenikuuuna mno ze first ze lady wa unkown kwa hiyo nakugongea sanks/ thanks sasa ivi.... Umenikumbusha matangazo ya champion tena....yule jamaa sijui anaitwa mayenje.... Hebu licheki fasta hilo tangazo
yaani ukitaka kuniboa nikumbushe huyo mayenje wa kwenye tangazo la tv, yaani sikuhizi wamarekani wameingia mpaka kwenye ndoa zetu .mpaka ndoa nazo kwa hisani ya marekani. Mimi lile tangazo silipi shavu hata kidogo!
 

Mh ukimya mwingi nao sometime siyo mzuri sana nadhani tafuta njia nyingine lakini siyo kunyamaza hicho ni kiburi Bigirita.but sometime inasaidia sana kunyamaza.
 
The Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:
Asprin (Today)

heheheeh kidumu chama cha pharmacy (CCP).
 
Dokezo; wanaume wakorofi na wahuni mara nyingi ni kutokana na kuwa na level kubwa ya testosterone hormone; the hormone of love and sex in men!!!!![/QUOTE]


Ahsante kwa hilo.
 
Wewe hujaona tangazo la kuvunja ukimya?Mwanaume halisi anavunja ukimya bwanaaaa!ukirudi usiku wa manane umenuna unafikiri ndio suluhisho?unakuwa impressed na comments za housegeli?Hapo ndo kwenye kipimo chako? Kukaa kimya ni kukwepa majukumu.Ngoja nisimalizie mume wangu asijeona hiii,lolz. Lakini huwezi kujisifia mbele za watu kuwa ...,let me not waste my tyme here,heheeeeeeheee
 
Nimekubali 1st Lady! Inabidi tuanzishe semina ya ndoa.
Dreamliner,semina haitasaidia kitu.Kuna watu mafundi wa kuongea lakini ukifika kwenye maisha yao halisi ndo hamna kitu!Ila ni aibu kuishi maisha ya kina Manjenje(sijui,yale ya kwenye tangazo). Ongea na wote hata wanaokuudhi manake utajipa presha bureeee.
All in all mwanaume halisi atapimwa kwa familia aliyoijenga, whether kwa kununa au kwa ku-address issues zake.Am outta here.
 
sijawahi kukielewa hiki kiumbe mwanaume kinataka nini, ukikiheshimu, kukijali na kukithamini, basi kinakudharau, ukiamua kuwa vuvuzela mambo ndo yanaenda sawa kidogo mmh maisha haya jamani tabu tupu

Mwanaume anachotafuta ni RIDHIKO LA MOYO WAKE TU
 
Mie nimegundua duniani hakuna jema... unaweza ukafanya kila mwenzako alichokuambia ana-dream na bado akaja na hoja mpya... unaweza ukaishia kuambiwa hata "simpendi rafiki yako fulani", au mh, kwanini usiwe kama john wa ofisini, he is stronger blahblah

binadamu hawaridhiki wala kutabirika

CHA MAANA NI - DO YOUR BEST WITHOUT STRETCHING TOO MUCH AND DONT EXPECT TOO MUCH FROM YOUR PARTNER
 
mahusiano ndani ya ndoa ni vigumu kujadiliwa nje ya mke na mume husika. utakalodhani linafaa kwa mume, ni kwa huyo wa kwako lakini likitumiwa na mwingine kwa mumewe, huwenda lisitoe manufaa kama kwako. I think every man/woman anatakiwa kumsoma mwenzi wake na kumuelewa anapenda na hapendi nini kisha kuhakikisha anatekeleza linalotakwa na mwenzi wake.
Mamo ya msingi yanayopendwa na kila binadamu bila kujali ni mwanamke au mwanaume yapo na yanafahamika. mathalani kumjali, kumuheshimu, kumpenda, kumthamini na kumuonyesha kuwa ananafasi ya kutosha kwako na kuwa na moyo wa kusamehe inapohitajika kufanya hivyo.
Hata hivyo ikumbukwe kuna baadhi ya watu unaweza kuwafanyia yote hayo na bado wakabaki tatizo, historia hapo inatakiwa kurejewa kwa sababu mtu ameumbwa na hulka pia analelewa na kukuzwa na mazingira.
 
 

Bora ulichosema utakuta unamwambia ukweli mwanamke hakubali ndo kwanza vuvuzela linapamba moto bora kunyamazaaa weeee mpaka atakapoona uvuvuzela hauna mpango ndo ajirudi
 
yaani ukitaka kuniboa nikumbushe huyo mayenje wa kwenye tangazo la tv, yaani sikuhizi wamarekani wameingia mpaka kwenye ndoa zetu .mpaka ndoa nazo kwa hisani ya marekani. Mimi lile tangazo silipi shavu hata kidogo!

Wamarekani wenyewe wanaoana siku mbili na kuachana sasa ilo tangazo lingewafaa wao zaidi kuliko huku kwetu Tena pale kwenye mayenje wamuweke Bush
 
 
kwenye red hapo, ninasita kidogo...............im not happy kwasababu ya mwanamke! PERIOD. hii ni thread inayojitegemea!
 
Bora ulichosema utakuta unamwambia ukweli mwanamke hakubali ndo kwanza vuvuzela linapamba moto bora kunyamazaaa weeee mpaka atakapoona uvuvuzela hauna mpango ndo ajirudi
The Following User Says Thank You to Kimbweka For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
Mh ukimya mwingi nao sometime siyo mzuri sana nadhani tafuta njia nyingine lakini siyo kunyamaza hicho ni kiburi Bigirita.but sometime inasaidia sana kunyamaza.
kakague kule juu!!!
 
umenena mwali!!!!!!!
shostito km shuz basi umelitoa hahahahaaaaaaa!!!!!!!!!!!!wape wape mwanakwetu wapakie wajae manake wengine sjui ni childsh mind au uvivu wa kujitambua na kutambua wengine wanataka nini...........dah ooh m a man gud luking m lukiong for btful gal wu z good luking like me oh yahusu?
ur gud luking yeees bt upstair ni makorokocho matupu so intasaidia nin mimi ndani ya nyumba?
kwanza kwa DATA nilizonazo ni kwamba magud luking man hawana lolote kuanzia kwa fundiseremala mpk mambo mengine ya maisha...lakin awa wanaume wenye sura km .........dah ndo waukweli kinyama kuanzia kwa fundi mpk mambo mengine yan utafuraia then its guarantee thou its not 1000% thats he z yrs only ata km wakichoropoka rate yao haiwi ndeeeeeeeeeeeefu sana compare to ao magud luking ambao awajui kuzungumza na mwanamke ye anategemea uzuri wake ndo utazungumza bt akifungua kinywa mmh madudu matupu ni kejel majivuno na dharau!!!!!!!!!!
braaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavo to ol ugly faces men!!!!!!!!!!!!ur real gud cz mna UTU!!!!!!!!!!!1

bt si mahandsome wote wabaya wengine wazuri kitabia ingawa wachache!!!!!!!!!
ukipinga hii bas we handasm boy wth makorokocho.........:lie:

nawasilisha mie nimalizie report yangu!!!!!
stay blesed eennnh!!!!!!!!!!:A S tongue:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…