Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

FL........wanawake wangapi waume zao wana kauli njema lakini malalamiko hayatoshi? ............

Kauli njema itasaidia lakini si hicho peke yake wanawake wote wanachotaka...................ukisikia hizo sifa mtu anazotaka mumewe awe nazo waweza jiuliza huyo mtu au malaika?

inanibidi nikubaliane na wengine kuwa wanawake hawafahamiki wanataka nini kama ilivyokuwa wanaume nao hawafahamiki.

Nazidi kukubali kwani analysis yako mara nyingi inanikuna! Hapa hakuna anayemfahamu fika mwenzake. Binafsi na-deal na situation badala ya kuanza kutumia theories na hadithi za mababu!

Hata hivyo nakumbuka sana kauli yako, "mwanaume anaye-supplicate kwa mwanamke hatakiwa hata siku moja"

mwisho wa siku kwenye mapenzi uombe bahati....
unaweza kuwa na tabia zote mbovu but still ukapata wa kukupenda
no matter what.....
na waweza kuwa uko full package na still hupendeki kihivyo.....

mapenzi ni kama kiatu vile...mwisho wa siku
unavaa kinachoku fiti,hata kama sio kizuri sana ..
kuwa cormfotable ndio kila kitu....

Kweli kabisa Boss, maisha mazuri ya ndoa ni bahati. Mara nyingi tunapoingia kwenye ndoa, kuna kiwango fulani cha kamari. Hata ujitahidi kiasi gani, ndoa ikitaka kugoma itagoma tu. Haya ya FL1 nadhani ni mambo yake binafsi. Amshukuru sana Mungu kama ndoa yake ina-fit hiyo model. Vingivevyo sioni kama kuna kitu uanweza ku-generalise kwenye mambo ya ndoa.
 
Mwanamke anavutiwa na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...

Kakudanganya nani??wengine utasikia mimi nashida ya nyama ya ulimi!!!Basi unabaki unamtizama kesho anakupa hadithi fulani kanunuliwa Vits!!Maanake nawewe kamtungulie Opa au Staret!!Jamai huu nimwezi4 tu kumeshaanza kuwa hapatoshi kwakuwa umeona mwenziyo ana Vits ujui nini siri ya hiyo Vits lakini Amani ndani inapotea eti kisa kwakuwa anaona unaouwezo wakumudu kununu hizo Opa,Vits nk.😡
 
No way siombi msamaha kwa mtu yoyote. Wanawake wote ni wapuuzi katika dunia hii. Iwe alikuzaa, atakuzaa ama aliwazaa so long as ni mwanamke ni mpuuzi full stop.

Dunia bila wanawake ingekuwa na amani kubwa sana.
hehehe greti thinka inabidi upunguze dozi ya salad (bange) kidogo!
 
umenikuuuna mno ze first ze lady wa unkown kwa hiyo nakugongea sanks/ thanks sasa ivi.... Umenikumbusha matangazo ya champion tena....yule jamaa sijui anaitwa mayenje.... Hebu licheki fasta hilo tangazo
yaani ukitaka kuniboa nikumbushe huyo mayenje wa kwenye tangazo la tv, yaani sikuhizi wamarekani wameingia mpaka kwenye ndoa zetu .mpaka ndoa nazo kwa hisani ya marekani. Mimi lile tangazo silipi shavu hata kidogo!
 
Mi nimejifunza kutoongea kabisa!! mpaka msichana wa kazi anamuuliza wifey, mbona baba haongei? amekasirika?
Nimegundua, kunyamaza kuna positive effect kwenye ndoa...kama mwenza ni vuvuzela ataacha au kupunguza, coz hau-entertain maongezi yasiyo na tija!! wala mwenyewe huanzishi maongezi ambayo yeye atakuovateki kwa maneno meeeeengi!! si mnajijuaga tena wadada?!!

Mh ukimya mwingi nao sometime siyo mzuri sana nadhani tafuta njia nyingine lakini siyo kunyamaza hicho ni kiburi Bigirita.but sometime inasaidia sana kunyamaza.
 
The Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:
Asprin (Today)

heheheeh kidumu chama cha pharmacy (CCP).
 
Dokezo; wanaume wakorofi na wahuni mara nyingi ni kutokana na kuwa na level kubwa ya testosterone hormone; the hormone of love and sex in men!!!!![/QUOTE]


Ahsante kwa hilo.
 
Mi nimejifunza kutoongea kabisa!! mpaka msichana wa kazi anamuuliza wifey, mbona baba haongei? amekasirika?
Nimegundua, kunyamaza kuna positive effect kwenye ndoa...kama mwenza ni vuvuzela ataacha au kupunguza, coz hau-entertain maongezi yasiyo na tija!! wala mwenyewe huanzishi maongezi ambayo yeye atakuovateki kwa maneno meeeeengi!! si mnajijuaga tena wadada?!!
Wewe hujaona tangazo la kuvunja ukimya?Mwanaume halisi anavunja ukimya bwanaaaa!ukirudi usiku wa manane umenuna unafikiri ndio suluhisho?unakuwa impressed na comments za housegeli?Hapo ndo kwenye kipimo chako? Kukaa kimya ni kukwepa majukumu.Ngoja nisimalizie mume wangu asijeona hiii,lolz. Lakini huwezi kujisifia mbele za watu kuwa ...,let me not waste my tyme here,heheeeeeeheee
 
Nimekubali 1st Lady! Inabidi tuanzishe semina ya ndoa.
Dreamliner,semina haitasaidia kitu.Kuna watu mafundi wa kuongea lakini ukifika kwenye maisha yao halisi ndo hamna kitu!Ila ni aibu kuishi maisha ya kina Manjenje(sijui,yale ya kwenye tangazo). Ongea na wote hata wanaokuudhi manake utajipa presha bureeee.
All in all mwanaume halisi atapimwa kwa familia aliyoijenga, whether kwa kununa au kwa ku-address issues zake.Am outta here.
 
sijawahi kukielewa hiki kiumbe mwanaume kinataka nini, ukikiheshimu, kukijali na kukithamini, basi kinakudharau, ukiamua kuwa vuvuzela mambo ndo yanaenda sawa kidogo mmh maisha haya jamani tabu tupu

Mwanaume anachotafuta ni RIDHIKO LA MOYO WAKE TU
 
Mie nimegundua duniani hakuna jema... unaweza ukafanya kila mwenzako alichokuambia ana-dream na bado akaja na hoja mpya... unaweza ukaishia kuambiwa hata "simpendi rafiki yako fulani", au mh, kwanini usiwe kama john wa ofisini, he is stronger blahblah

binadamu hawaridhiki wala kutabirika

CHA MAANA NI - DO YOUR BEST WITHOUT STRETCHING TOO MUCH AND DONT EXPECT TOO MUCH FROM YOUR PARTNER
 
mahusiano ndani ya ndoa ni vigumu kujadiliwa nje ya mke na mume husika. utakalodhani linafaa kwa mume, ni kwa huyo wa kwako lakini likitumiwa na mwingine kwa mumewe, huwenda lisitoe manufaa kama kwako. I think every man/woman anatakiwa kumsoma mwenzi wake na kumuelewa anapenda na hapendi nini kisha kuhakikisha anatekeleza linalotakwa na mwenzi wake.
Mamo ya msingi yanayopendwa na kila binadamu bila kujali ni mwanamke au mwanaume yapo na yanafahamika. mathalani kumjali, kumuheshimu, kumpenda, kumthamini na kumuonyesha kuwa ananafasi ya kutosha kwako na kuwa na moyo wa kusamehe inapohitajika kufanya hivyo.
Hata hivyo ikumbukwe kuna baadhi ya watu unaweza kuwafanyia yote hayo na bado wakabaki tatizo, historia hapo inatakiwa kurejewa kwa sababu mtu ameumbwa na hulka pia analelewa na kukuzwa na mazingira.
 
Sisi wanawake tunavutiwa na mambo madogo sana ambayo hayahitaji kuwaumiza vichwa.. si pesa wala good looking zenu :A S 39:unaweza ukawa na yote lakini amani hakuna ndani ya nyumba
Kauli ya mwanaume ni silaha tosha ya kujenga au kubomoa ndoa yake..Mwanamke anavutia na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...
Unakuta mwanaume kadanganywa na wenzio ndoa au mahusiano yako ili yawe imara inabidi yapelekwe kijeshi..uwe mkali kama simba lah hasha hayo mahusiano hayatadumu

First lady unajua kabisa nyie ndio mhimili wa nyumba, unayosema hakuna mwanaume mwenye akili anaweza kupinga, lakini kina dada wengine unaweza lia. Anataka akutrat kama baba yake, akikuona tu nataka simu, nataka chips, nataka hiki au kile at the end of the day unaona kuwa ni relationship ya kiuchumi zaidi kuliko affection. ndio maana kuna wengine wanajaribu kuendesha relationships kijeshikijeshi kwa manufaa ya pande mbili, lakini nakubaliana na wengi uhusiano kama huu ni kama wa paka na panya
 
Mi nimejifunza kutoongea kabisa!! mpaka msichana wa kazi anamuuliza wifey, mbona baba haongei? amekasirika?
Nimegundua, kunyamaza kuna positive effect kwenye ndoa...kama mwenza ni vuvuzela ataacha au kupunguza, coz hau-entertain maongezi yasiyo na tija!! wala mwenyewe huanzishi maongezi ambayo yeye atakuovateki kwa maneno meeeeengi!! si mnajijuaga tena wadada?!!

Bora ulichosema utakuta unamwambia ukweli mwanamke hakubali ndo kwanza vuvuzela linapamba moto bora kunyamazaaa weeee mpaka atakapoona uvuvuzela hauna mpango ndo ajirudi
 
yaani ukitaka kuniboa nikumbushe huyo mayenje wa kwenye tangazo la tv, yaani sikuhizi wamarekani wameingia mpaka kwenye ndoa zetu .mpaka ndoa nazo kwa hisani ya marekani. Mimi lile tangazo silipi shavu hata kidogo!

Wamarekani wenyewe wanaoana siku mbili na kuachana sasa ilo tangazo lingewafaa wao zaidi kuliko huku kwetu Tena pale kwenye mayenje wamuweke Bush
 
Mwanamke MPUMBAVU huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe! Ukweli ni kwamba, Mwanamke akiwa mpole, mcheshi, mvumilivu, hapendi makuu.. Hayo makelele ya kijeshi yatatoka wapi? Nyumba nyingi ukiona zina makelele, asilimia 91, chanzo ni Bibie... Vuvuzela..

Wanawake wengi wamekuwa na kelele kwa waume zao kwa sababu ya waume haohao, hawapendeki. Mwanaume anafanyiwa kila kitu lakini bado anafanya mambo ya ajabu we unategemea huyo mke afanye nini?! Waume behave yourselves na muwa-treat wake zenu kama inavyostahili sio ubabe tu hata pasipostahili. Kila kitu kifanyike kwa kiasi.
 
Nadhani hapo umewatoa wafuatao:
Mama yangu, mke wangu na mabinti zangu. Otherwise utahitajika kuwaomba radhi haraka na mapema iwezekanavyo.

BTW hivi unaweza kuwaita mama zetu hawa wapuuzi? Mama yako aliyekuzaa ni mpuuzi? Kwa hapa niko against na wewe. Kwangu mimi wanawake ni watu muhimu sana. Nimefikia hapa nilipo kwa sababu ya mwanamke, naishi maisha ya raha kwa sababu ya wanawake, najisikia amani kwa sababu ya wanawake, najisikia furaha kwa sababu yao, nafaririjika kwa sababu ya wanawake. To me, without women, this world is a second hell.

Now apologise to all women before I change my mind. Am counting 9.........8.........7...........
kwenye red hapo, ninasita kidogo...............im not happy kwasababu ya mwanamke! PERIOD. hii ni thread inayojitegemea!
 
Bora ulichosema utakuta unamwambia ukweli mwanamke hakubali ndo kwanza vuvuzela linapamba moto bora kunyamazaaa weeee mpaka atakapoona uvuvuzela hauna mpango ndo ajirudi
The Following User Says Thank You to Kimbweka For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
Mh ukimya mwingi nao sometime siyo mzuri sana nadhani tafuta njia nyingine lakini siyo kunyamaza hicho ni kiburi Bigirita.but sometime inasaidia sana kunyamaza.
kakague kule juu!!!
 
umenena mwali!!!!!!!
shostito km shuz basi umelitoa hahahahaaaaaaa!!!!!!!!!!!!wape wape mwanakwetu wapakie wajae manake wengine sjui ni childsh mind au uvivu wa kujitambua na kutambua wengine wanataka nini...........dah ooh m a man gud luking m lukiong for btful gal wu z good luking like me oh yahusu?
ur gud luking yeees bt upstair ni makorokocho matupu so intasaidia nin mimi ndani ya nyumba?
kwanza kwa DATA nilizonazo ni kwamba magud luking man hawana lolote kuanzia kwa fundiseremala mpk mambo mengine ya maisha...lakin awa wanaume wenye sura km .........dah ndo waukweli kinyama kuanzia kwa fundi mpk mambo mengine yan utafuraia then its guarantee thou its not 1000% thats he z yrs only ata km wakichoropoka rate yao haiwi ndeeeeeeeeeeeefu sana compare to ao magud luking ambao awajui kuzungumza na mwanamke ye anategemea uzuri wake ndo utazungumza bt akifungua kinywa mmh madudu matupu ni kejel majivuno na dharau!!!!!!!!!!
braaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavo to ol ugly faces men!!!!!!!!!!!!ur real gud cz mna UTU!!!!!!!!!!!1

bt si mahandsome wote wabaya wengine wazuri kitabia ingawa wachache!!!!!!!!!
ukipinga hii bas we handasm boy wth makorokocho.........:lie:

nawasilisha mie nimalizie report yangu!!!!!
stay blesed eennnh!!!!!!!!!!:A S tongue:
 
Back
Top Bottom