Gwajima alijuaje kuwa Lissu angepigwa risasi? Je, ni unabii wa kweli?

Gwajima alijuaje kuwa Lissu angepigwa risasi? Je, ni unabii wa kweli?

Uzi umeunganishwa unaweza kufungua video ya page ya kwanza labda itajibu
baadhi ya maswali nadhani kunapost lema amefuta alieleza in details
Siyo kwamba 'hit men' wote wanaotumika kwenye Opereaheni za kidhalimu Kama kuua watu huko 'ndani ya wavaa Kaunda suti' huwa wanakuwa wameridhika kwa dhati kabisa kutoka mioyoni mwao ktk kutekeleza kazi hizo,, karibia maajenti wote Wanaotumika kwenye missions Kama hizo za 'assassinations' wanakuwa wamelazimishwa tu na wakubwa wao (makamanda wao) kwa kupewa tu amri na wao kutakiwa kuitekeleza. Nina mfano ulio hai kuhusiana na Mission Kama hiyo, jamaa mmoja anafanya kazi katikà taasisi moja kubwa alikuwa na Mgogoro wa ardhi dhidi ya 'Kiongozi mmoja wa Wavaa Kaunda suti' katikà Mkoa fulani hivi. Kiongozi huyo akatumia mamlaka/madaraka yake vibaya na kupanga Mpango wa Siri (assassination plan) dhidi ya mgomvi wake ili kumaliza Mgogoro uliokuwepo kati yao baada ya 'kiongozi huyo wa wavaa kaunda suti' kuona kwamba Mgogoro umemuelemea sana. Mpango ulisukwa vizuri Sana, tarehe ya 'mauaji' ilipangwa na hitmen wazoefu wakaandaliwa.Njia ya Mauaji (assassination method ) iliyochaguliwa na iliyopangwa ni kumuwekea sumu (Poisoning). Aidha, Surveillance kali ikaanzishwa ili kumuwinda jamaa na ili kuweza 'kumtegea mitego ya kifo.' Bahati njema Sana kwa jamaa Mungu na Malaika wote waliopo walikuwa upande wake katika kumlinda na kumtetea, jamaa akawa 'tipped' kuhusu Mpango wote ndio ikawa pona yake. Ilikuwa ni Mpango wa Mauaji wa hatari Sana, Hati ya kusafirisha maiti yake kurudishwa kijijini kwake tayari iliandaliwa, risala yake ya mazishi tayari iliandaliwa na ilikuwa auawe siku 27 kabla ya siku ya birthday yake. Ni hatari, hatari, hatari Sana kupita kiasi. Hiki ni kisa halisi kabisa na cha kweli.
 
Uzi umeunganishwa unaweza kufungua video ya page ya kwanza labda itajibu
baadhi ya maswali nadhani kunapost lema amefuta alieleza in details
LOOooh!
Asante mkuu. Nilikuwa sijaona huko kwa Lema mwenyewe.
Basi tuendelee na mengine.
 
Kama alikuwa genge moja kwann atake kumnusuru Lisu asishambuliwe.
Kama mtumishi wa mungu feki dhamiri ilimhukumu kwamba wamepatana kumwaga damu isiyo na hatia,na kwa sababu Lisu ni mtu wa Mungu innocent ikabdi gwaji afunguke kumpa alert,kumbuka Mungu alitumia hata vyura misri kuwaokoa wanawa-izraeli
 
Siyo kwamba 'hit men' wote wanaotumika kwenye Opereaheni za kidhalimu Kama kuua watu huko 'ndani ya wavaa Kaunda suti' huwa wanakuwa wameridhika kwa dhati kabisa kutoka mioyoni mwao, karibia maajenti wote Wanaotumika kwenye missions Kama hizo za 'assassinations' wanakuwa wamelazimishwa tu na wakubwa wao (makamanda wao) kwa kupewa tu amri na wao kutakiwa kuitekeleza. Nina mfano ulio hai kuhusiana na Mission Kama hiyo, jamaa mmoja anafanya kazi katikà taasisi moja kubwa alikuwa na Mgogoro wa ardhi dhidi ya 'Kiongozi mmoja wa Wavaa Kaunda suti' katikà Mkoa fulani hivi. Kiongozi huyo akatumia mamlaka/madaraka yake vibaya na kupanga Mpango wa Siri (assassination plan) dhidi ya mgomvi wake ili kumaliza Mgogoro uliokuwepo kati yao baada ya 'kiongozi huyo wa wavaa kaunda suti' kuona kwamba Mgogoro umemuelemea sana. Mpango ulisukwa vizuri Sana, tarehe ya 'mauaji' ilipangwa na hitmen wazoefu wakaandaliwa.Njia ya Mauaji (assassination method ) iliyochaguliwa na iliyopangwa ni kumuwekea sumu (Poisoning). Aidha, Surveillance kali ikaanzishwa ili kumuwinda jamaa na ili kuweza 'kumtegea mitego ya kifo.' Bahati njema Sana kwa jamaa Mungu na Malaika wote waliopo walikuwa upande wake katika kumlinda na kumtetea, jamaa akawa 'tipped' kuhusu Mpango wote ndio ikawa pona yake. Ilikuwa ni Mpango wa Mauaji wa hatari Sana, Hati ya kusafirisha maiti yake kurudishwa kijijini kwake tayari iliandaliwa, risala yake ya mazishi tayari iliandaliwa na ilikuwa auawe siku 27 kabla ya siku ya birthday yake. Ni hatari, hatari, hatari Sana kupita kiasi. Hiki ni kisa halisi kabisa na cha kweli.
Sawa mkuu swali langu kwanini taarifa apate gwajima na si Lisu mhusika
 
Sawa mkuu swali langu kwanini taarifa apate gwajima na si Lisu mhusika
Mambo ya namna hii huwa siyashabikii sana, lakini nami ngoja niulize swali juu ya swali lako: Gwajima aliwahi kushutumiwa huko siku za nyuma kuhusiana na maswala ya ngono. Hivi waliokuwa wakimshambulia lilikuwa genge gani lile? Makonda naye alikuwemo?
Huenda ukiunganisha maswali mawili haya unaweza kujenga hoja juu yak pia!
 
Sawa mkuu swali langu kwanini taarifa apate gwajima na si Lisu mhusika
Possibly Gwajima alikuwa tipped na mmoja wa 'inner circles' ili amfikishie Tundu Lissu kuhusu taarifa za Mpango huo.

Kumbuka: Secret Agents (undercover operatives or hitmen) ambao wamepewa amri ya kufanya kazi ya namna hii huwa nao wanafuatiliwa nyuma nyuma kwa Siri Sana na agent wenzao na huwa wanawekewa Surveillance Kali zaidi ili kuhakikisha kwamba hawapati nafasi wala upenyo wa kuvujisha siri za Mpango wa operation wanayotekeleza. Mabossi wao wanahakikisha wanajua kila jambo wanalofanya 'wauaji' wao waliowatuma kazi, mawasiliano yote ya 'wauaji waliotumwa kazi' yanafuatiliwa muda wote, usiku na mchana mpaka pale wanapokamilisha kazi waliyotumwa.

Hata huyo jamaa yangu nilivyokueleza kwenye kisa Cha hapo juu alipata taarifa ya kuwepo kwa Mpango wa Mauaji dhidi yake kutoka kwa 'mtu wa tatu' ambaye alikuwepo ndani ya 'circle yao.'
 
Possibly Gwajima alikuwa tipped na mmoja wa 'inner circles' ili amfikishie Tundu Lissu kuhusu taarifa za Mpango huo.

Kumbuka: Secret Agents (undercover operatives or hitmen) ambao wamepewa amri ya kufanya kazi ya namna hii huwa nao wanafuatiliwa nyuma nyuma kwa Siri Sana na agent wenzao na huwa wanawekewa Surveillance Kali zaidi ili kuhakikisha kwamba hawapati nafasi wala upenyo wa kuvujisha siri za Mpango wa operation wanayotekeleza. Mabossi wao wanahakikisha wanajua kila jambo wanalofanya 'wauaji' wao waliowatuma kazi, mawasiliano yote ya 'wauaji waliotumwa kazi' yanafuatiliwa muda wote, usiku na mchana mpaka pale wanapokamilisha kazi waliyotumwa.

Hata huyo jamaa yangu nilivyokueleza kwenye kisa Cha hapo juu alipata taarifa ya kuwepo kwa Mpango wa Mauaji dhidi yake kutoka kwa 'mtu wa tatu' ambaye alikuwepo ndani ya 'circle yao.'
Msingi wa swali langu kwanini awe gwajima sio mwingine wamwambie gwajima na sio mtu mwingine
 
Msingi wa swali langu kwanini awe gwajima sio mwingine wamwambie gwajima na sio mtu mwingine
Yawezekana informer aliyepeleka taarifa hizo anamuamini sana Askofu Gwajima kuwa atamfichia Siri informer huyo na kwamba Askofu hataweza kutaja Jina au utambulisho wa huyo 'informer mzalendo.'
Kumbuka: taarifa za namna hii huwa ni jambo la Siri kubwa Sana, kitendo Cha kuvujisha Siri ya namna hii inahesabiwa kuwa ni kosa kubwa sana la Uhaini ambalo adhabu yake ni kifo tu.

Unaweza uka-google Jina la Peter Tyenyi humu mitandaoni ili kupata mambo mawili matatu ili kuongeza uelewa wako binafsi.
 
Yawezekana informer aliyepeleka taarifa hizo anamuamini sana Askofu Gwajima kuwa atamfichia Siri informer huyo na kwamba Askofu hataweza kutaja Jina au utambulisho wa huyo 'informer mzalendo.'
Kumbuka: taarifa za namna hii huwa ni jambo la Siri kubwa Sana, kitendo Cha kuvujisha Siri ya namna hii inahesabiwa kuwa ni kosa kubwa sana la Uhaini ambalo adhabu yake ni kifo tu.

Unaweza uka-google Jina la Peter Tyenyi humu mitandaoni ili kupata mambo mawili matatu ili kuongeza uelewa wako binafsi.
HiI ni hatari
 
Gwajima alidokezwa kama nani mda huo yeye na RC bashite paka na.panya na kwanini asidokezwe lisu
mwanasiasa nguli
Magufuli alikuwa anaamini sana baadhi ya watu kutoka kanda yake hivyo angeweza kuwashirikisha baadhi amabo nao wangemdokezea.
 
Mambo ya namna hii huwa siyashabikii sana, lakini nami ngoja niulize swali juu ya swali lako: Gwajima aliwahi kushutumiwa huko siku za nyuma kuhusiana na maswala ya ngono. Hivi waliokuwa wakimshambulia lilikuwa genge gani lile? Makonda naye alikuwemo?
Huenda ukiunganisha maswali mawili haya unaweza kujenga hoja juu yak pia!
Hapo ukiunganisha dots utapata jibu Gwaji alipata msamaria mwema aliyekuwa akimpenyezea za chini ya kapeti 🙄

Kama ni kweli lakini kwamba alimtahadharisha Lissu 😇🤠
 
Maneno haya ameyarudia Lema mara mbili, lakini alipoulizwa Lissu kuhusu dokezo la kushambuliwa kwake Toka Kwa Mlawi, Lissu alikanusha,

Je Lema ni mzushi?
 
Back
Top Bottom