Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Yupo wapi 😭Fake p kaenda wapi?Dah hatari tupu , na wengine kesho ya nchi hiiii ipo mikononi mwao si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo wapi 😭Fake p kaenda wapi?Dah hatari tupu , na wengine kesho ya nchi hiiii ipo mikononi mwao si ndio?
nisalimie kwanza😁Fake p kaenda wapi?
Shikamoo 😎😎nisalimie kwanza😁
Wako wapi wanambie kesho yanguKuna watu wanajua kesho yako kwa maono tu Mkuu
Nenda kawe 🤣😁Wako wapi wanambie kesho yangu
Na nani jameni 😭 mwambie tajiri kutoka kigambonino nam misi sana 😭Marasaba😅 fake p sjui katekwa
Anaona kwa miujiza au intelijensia!?Unafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!
Ndivyo alivyokudanganya? Angekuwa anaijua kesho angesema watu Ulaya watakimbia chanjo ya korona na kuunga foleni ya kuja kuishi Tanzania na Magufuli atakuwa shujaa? Ule mpango kuna watu walidokezwa kwani hata kamera zilikuwa zimeshaondolewa. Magufuli alikuwa mwovu kama shetani. Unataka kuua binadamu mwenzako kinyama namna hiyo kisa tu anahoji ujinga wako?Unafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!
Huyu mwamba atakuwa vizuriUsisahau Gwajima ana intelligence system yake mwenyewe nchi hii.
Gwajima na Kakobe ndio watanzania pekee wenye akili ambao wanawaibia wazungu kupitia mahubiri maana wana makanisa Japan, Canada na Ulaya.
Tueleze kwanza wewe habari hii ume/uliipata wapi na lini?Bwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
Tunaomba vifuatavyo km ushahidi :Bwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
Duuh!!! Hayo maono ni hatariKuna watu wanajua kesho yako kwa maono tu Mkuu
Hakuna kitu kama hichoBwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
Gwajima alidokezwa kama nani mda huo yeye na RC bashite paka na.panya na kwanini asidokezwe lisuNdivyo alivyokudanganya? Angekuwa anaijua kesho angesema watu Ulaya watakimbia chanjo ya korona na kuunga foleni ya kuja kuishi Tanzania na Magufuli atakuwa shujaa? Ule mpango kuna watu walidokezwa kwani hata kamera zilikuwa zimeshaondolewa. Magufuli alikuwa mwovu kama shetani. Unataka kuua binadamu mwenzako kinyama namna hiyo kisa tu anahoji ujinga wako?
Tunataka alete Boti alizoahidi wale watu wa KaweUnafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!
Lissu mwenyewe alijuaBwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
Kwahiyo lema alidanganya aliposema hayo na kupost twitterHakuna kitu kama hicho
Unafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!
Alivyojua khs JPM alichukua uamuzi gani?Kuna watu wanajua kesho yako kwa maono tu Mkuu
Mbona siku nyingi sana lema alishasema na kupost mjini twitterTueleze kwanza wewe habari hii ume/uliipata wapi na lini?