Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Lema alisema walipokuwa wanaelezwa lisu alikataa yakuamini hayo maneno.Lissu mwenyewe alijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema alisema walipokuwa wanaelezwa lisu alikataa yakuamini hayo maneno.Lissu mwenyewe alijua
It seems the Secret information about that 'Assassination Plan' was divulged and reached to Bishop Josephat Gwajima.Bwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
atakuwa alikuwa mjumbe kwenye kikao cha chato na kolomije gangstersBwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
Sijawahi kumsikia Tundu Lissu mwenyewe akiligusia hili, na hata huyo Gwajima mwenyewe hata kulikumbushia tu!Mbona siku nyingi sana lema alishasema na kupost mjini twitter
Kabla ya kuwa x
Watu wa jamhuri ya twitter wanajua hii na ilitolewa na lema mwanyewe unaweza ukasearch postSijawahi kumsikia Tundu Lissu mwenyewe akiligusia hili, na hata huyo Gwajima mwenyewe hata kulikumbushia tu!
Hili ni jambo muhimu, nashindwa kuelewa kwa nini halikupewa uzito wa kutosha hata kwenye mijadala tu ya kijamii hadi leo wewe unaliibua tena!
Nina mashaka na taarifa yako.
Bado hujajibu swali lililoulizwa - je Gwajima alijuaje. ? 🤠Unafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!
Yawezekana sio kweli 🙄Sijawahi kumsikia Tundu Lissu mwenyewe akiligusia hili, na hata huyo Gwajima mwenyewe hata kulikumbushia tu!
Hili ni jambo muhimu, nashindwa kuelewa kwa nini halikupewa uzito wa kutosha hata kwenye mijadala tu ya kijamii hadi leo wewe unaliibua tena!
Nina mashaka na taarifa yako.
Yaani usipo isikia taarifa wewe ndio isiwe kweli!? Au hata acciunt ya twitter hukuwaYawezekana sio kweli 🙄
Hakukuwa na kitu kama hicho , vinginevyo hiyo ingekuwa ni Talk of the Country mpaka saa hii ,
ALisema Tanzania haijafikia hukokumbe lisu ni mpuuzi hivi
Ikiwa bible inadanganya ashindwe kudanganya LemaKwahiyo lema alidanganya aliposema hayo na kupost twitter
Mkuu, habari kama hii Lema huyo huyo asingeishia huko huko kwenye Jamhuri yao. Hii siyo taarifa ya kuonekana na kupotea mara moja. Hili tu litakufahamisha kuwa ni taarifa ambayo haikuwa na miguu.Watu wa jamhuri ya twitter wanajua hii na ilitolewa na lema mwanyewe unaweza ukasearch post
Za lema kama hajaifuta itakuwepo nadhani ni ya 2022 au 2021 baada ya kifo cha magufuli
Mkuu, habari kama hii Lema huyo huyo asingeishia huko huko kwenye Jamhuri yao. Hii siyo taarifa ya kuonekana na kupotea mara moja. Hili tu litakufahamisha kuwa ni taarifa ambayo haikuwa na miguu.
Alimsikia Magufuli akiropoka kuwa kesho ndiyo mwisho wa mtukutu Lissu kupumua.Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.
Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.
Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?
Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Nimetafuta ile aliyotoa maelezo in details sijaiona hiyo bado kwenye account yake unaipataMkuu, habari kama hii Lema huyo huyo asingeishia huko huko kwenye Jamhuri yao. Hii siyo taarifa ya kuonekana na kupotea mara moja. Hili tu litakufahamisha kuwa ni taarifa ambayo haikuwa na miguu.
hii ni post ya lema hujataka hata kujihangaisha kwenda kwenye account yake spoon feedingYawezekana sio kweli 🙄
Hakukuwa na kitu kama hicho , vinginevyo hiyo ingekuwa ni Talk of the Country mpaka saa hii ,
Duuh hatari sanaAlimsikia Magufuli spironolactone kuwa kesho ndiyo mwisho wa mtukutu Lissu kupumua.
Heshima nyingi mkuu 'Duc in altum'.
Uzi umeunganishwa unaweza kufungua video ya page ya kwanza labda itajibuHeshima nyingi mkuu 'Duc in altum'.
Naheshimu sana mtu wa aina yako anayejitahidi kutoa ushahidi wa jambo analolizungumzia.
Kwa hiyo hapa sina mashaka tena na wewe; ila mashaka yangu yanabaki na hiyo hiyo taarifa iliyotolewa na Lema.
Gwajima aliyasemea wapi haya. Alikutana ana kwa ana na Lissu na kumpa taarifa hiyo?
Hapana, sikuulizi wewe ujibu hili. Wewe umekwisha maliza kazi yako vizuri kabisa.
Sasa sijui tutampataje Lema atueleze habari yake hii. Au pengine hata siku moja Tundu Lissu adokeze tu!