Gwajima alijuaje kuwa Lissu angepigwa risasi? Je, ni unabii wa kweli?

Gwajima alijuaje kuwa Lissu angepigwa risasi? Je, ni unabii wa kweli?

Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.

Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.

Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?

Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Gwajima akamatwe ahojiwe anajua mpango mzima.
 
Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.

Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.

Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?

Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Inawezekana pia ni muhusika katika hizo plots just saying!
 
Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.

Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.

Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?

Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Ni kweli, tuendelee kumuamini. Mskize tena hapa!
 
Sawa mkuu
Mmawia kuna kitu kinaitwa coincidence. Watu walishajua kuwa Magufuli ni Muuaji and therefore kwa criticism alizokuwa anazitoa Lisu against magufuli, it is very much possible a coincidence to happen with one predicting what might be the consequence of Lisu's criticisms!!
 
Muhusika iweje amtaarifu mlengwa kuwa atashambuliwa Ili ajiokoe?

Unatumia KICHWA kipi kufikiri?

1. Gwajima ni kiongozi wa dini mwenye wafuasi wengi tu unadhani , rumours zikienea kwamba ametabiri kitu kikatokea kweli idadi ya wafuasi itakuwaje? Jibu ni itazidi mara nyingi zaidi kumbuka dini hasa ya kikristo imekaa kibiashara zaidi hasa haya makanisa ya kiroho hivyo inahitajika akili kubwa kuongeza wafuasi ndiyi maana wanatumia shuhuda ambazo hazina uthibitishi wowote ilikujizolea wafuasi.

2. Tuchukulie alikuwa katika hiyo mipango na title yake kijamii ni baba wa kiroho wa waumini wengi mno, unadhani hata kama akimwambia muhusika, huyo muhusika anaweza kuthibitisha chochote? Jibu ni hapana maana jamaa atasema alioteshwa kwa maana yeye ni baba wa kiroho na bika ushahidi hauwezi kumfunga, so hapo lisu hata angetangaza bado jamaa angebaki kutambuliwa na umaarufu kuzidi.


LABDA SWALI NILIRUDISHE KWAKO HUWA UNATUMIA KICHWA GANI KUFIKIRIA?

N.b
Samahani kwa wale watakao udhiwa na baadhi ya maneno.
 
Mmawia kuna kitu kinaitwa coincidence. Watu walishajua kuwa Magufuli ni Muuaji and therefore kwa criticism alizokuwa anazitoa Lisu against magufuli, it is very much possible a coincidence to happen with one predicting what might be the consequence of Lisu's criticisms!!

Yeah ! Ni sawa na mtu aone wingu limetanda ghafla na hali imebadilika akasema kutanyesha mvua muda si mrefu basi kutokana na hali ya hewa basi kutakuwa na hadi 80% ya mvua kunyesha
 
Back
Top Bottom