kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Nimhubiri duni kuliko wote nilowahi kuwaona,hutumia madhabahu kuwasema kuwatusi na kuchafua watu ili apate umaarufu. Alimchafua hata kikwete na nimtu muongo mwenyevinyongo vyakishetani. Huombea watu mabaya na kulaani watu vilevile ni mbaguzi wa wazi wa kikabila (nimkabila)!! Nimuongo na kigeugeu alishasema hawezi kutaka urais,uwaziri wala ubunge!! Huwa hajihusishi kusaidia maskini anajirundikia mamali kwa kutumia dini kwa faida yake.
HAFAI HAFAI HAFAI ninaamini sana DSM has a kawe sio wajinga wakamchagua bora angeenda kijijini kwao huko usukumani.
HAFAI HAFAI HAFAI ninaamini sana DSM has a kawe sio wajinga wakamchagua bora angeenda kijijini kwao huko usukumani.