Uchaguzi 2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

Uchaguzi 2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Waambie Chadema waliokutuma hivi, Jimbo linaondoka mikononi mwao asubuhi na mapema: watafute mbinu nyingine kumdhoofisha Gwajima.
Lazima mkumbuke 2015 wakati mlipokua na sapoti yake, sasa hivi ndo mnaona hayo? Hamuwezi kuwa timamu haki ya nani.
 
Baada ya kujua ule usemi wa "Usitukane mamba kabla hujavuka mto" Yeye alipojiona tayari katukana akajitengenezea vazi zito sana na gumu sana la chuma ili asidhurike na huyo mamba aliyemtukana.

Sasa kilichotokea ni kweli yule mamba hawezi kumla lakini na yeye haokoleki kutokana na lile vazi linavyozidi kumzamisha mtoni!
Dah!akisoma hii anaweza kulia baba mtumishi.
 
Kwani Shida nini hapo, Yan ukizingua na wewe unazinguliwaaaa Yan ukosee harafuu Watu tukuangaliiieeee
 
Hiiiii we ndo mnafiki namba moja umejuaje Kama nimnafiki mnafiki anamjua mnafiki mwenzake
Unatetea unafiki mkuu!! Sifa kuu ya mnafiki akizungumza amejaa uongo , huyu Gwajima alidai kugombea ubunge ni KUJISHUSHA na yeye hawezi kufanya hivyo maana kazi ya kumtumia Bwana ni kubwa sana , sasa kikowapi? inahitaji kujitoa akili kumtetea Gwajima
 
Me napenda Watu Wenye misimamo ya kiume Kama Gwajima ,sio kucheka cheka
Gwajima Ni mwanaume banaa ,Acheni kupost Mambo ya kishambaa
 
Yani siku hizi Mtu akiamka anapost tuu ,vitu vyakee hata havina mantiki,
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Kujikomba kunapoteza ufahamu, heshima, na hekima. Kunaaibisha!
 
Humu ni baadhi ya makada ndiyo tunatupiana mawe, mtu bado hata hajaingia kwenye top5 tayari publicity mmemuanzishia tayari, ni kumpa sifa kabla ya wakati.

Makonda alimpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu na kumdhalilisha sana pale ubungo na hakuwahi kuomba msamaha bado akapewa nafasi kubwa ya kiutawala na anasonga mbele.

Vitu vingine binadamu tunasahau sana
 
Halima wala asijidanganye kwa kusubiri kuja ku attack wenzie personally kama kutamsaidia!

Kiwango cha kukubalika Halima jimboni kimeshuka sana!

Asizani kama bado anakubalika kwa kiwango kile kile cha zamani la hasha!

Na kama CDM wangekuwa na mfumo thabiti wa kufahamu hali ilivyo ni bora wangeleta mgombea mwingine kama John Heche n.k lakini kumuacha Halima agombee tena ni mashaka matupu!
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo. Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School. Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!

Duh...!.
Japo siungi mkono kauli hizi za Gwajima kumtukana Pengo, ila
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Kuna ajabu gani yeye kugeuka?

Mlikuwa mkimshabikia sana na kuungana nae. Leo kageuka kawa adui. Nanyi mmemgeuka. Hamumuungi tena mkono. Kisa. Kakataa kuendelea kuwa nyumbu.

Kama mlivyogeuka. Nae kageuka
Tatizo ni ukigeu geu.. unafiki... Unajua sifa za mnafiki??
 
Huyu bwana anatakiwa apate kura kiduchu sana ili iwe fundisho kwake na kwa wengine wenye tabia kama za kwake
 
Back
Top Bottom