Uchaguzi 2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

Uchaguzi 2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

Wala usiwe na wasiwasi.
Ni kwwli wakatoliki na watanzania wanajua kuwa Gwajima alimtukana matusi mazito sana Askof Pengo.
Pia hiv karibuni aliitwa polisi kuhojiwa kwa kurusha clip za kuchochea ukabila na kuwashauri wasukuma kuunda group la kusaidiana wasukuma kwa wasukuma.
Hii nayo ni mbaya sana kwa kiongozi anayetakiwa kuwakilisha Jimbo zima ambalo lina makabila mbalimbali.
Sasa inabidi asimame hadharani na kuomba msamah kwani kama amelenga kwenda bungeni kutetea usukuma na sio wana kawe tutajuaje nia yake?
Ni kiongozi ambaye amehojiwa kwa tuhuma za ukabila sasa kawe kuna wasukuma tupu? Au kanda ya ziwa tup? Gwajima aombe msamaha haraka la sivyo wana kawe hawakuelewi.
We Nan hata umuhukumu Gwajima
 
Unajua MTU wa kuzimu ni kama wewe kabisa yaan
Naam! Nipo na marehemu Mama yako huku, sahivi Mimi ndo nashikilia show, baba yako Ni mpenzi mtazamaji tu, Gwajima akija Huku ana sehemu yake "spesho" Kuna kaka shetani anasubiri awe anampakata
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Mtu mwenye akili huwezi kuandika upupu kama huu.
Mtu mwenye akili lazima ufikirishe ubongo wako ulete hoja za maana na zenye mashiko walio kutuma kuandika udambwidambwi huu waambie wajipange upya.
Yawezekana nawewe ni Mgombea ndio maana unahofu Sana unamhofia Gwajima itoshe kusema nenda ukajipange upya then uje hapa na hoja zilizo shiba
 
Wafadhili hawatoi hela baada ya kujua hali halisi unategemea nini? Jiulize zile mbwembwe za kununua ndege zimeishia wapi?
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
mbona mnataabika sana? Hii ni nchi huru fanya unachokitaka, kila anachokisema kiko relevant na muda anaousema wa kukemewa anakemewa, wakuonywa anaonywa, wa kupongezwa anapongezwa. Ni mchungaji asienyamaza anasimamia haki. Mbona alimwambia nabii tito ukweli na akamuombea ila akaamua kurudi. Acheni Mungu amuhukumu na sio nyie maana yeye ni binadamu kama sisi. Ukionewa unakaa kimya??? Hapana, you attack. Mmekaa kumsema vibaya kama vile hana jema alilofanya. Mmekaa kama vibaraka.
Time will tell until punguzeni kupepeta hio midomo eboo
 
siasa siasa siasa siasa

akiwa kule ni mwema na wakwetu then akienda pale anakuwa wakwao na mchafu na hafai

navuta pakiti yangu ya popcon naanza kubugia huku nikicheki movie inavyonoga 😂😂😂
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Anayewachagulia Mbunge ni meko na sio nyinyi.
Tulieni mtaona show
 
Liwe jua iwe mvua, Gwajima hawezi kutoboa kwenye kura za maoni za CCM jimbo la kawe. Nina uhakika hata Top ten ya watia nia wa CCM wa jimbo la Kawe hawezi kuingia. Kama huamini haya ninayosema, subiria muda ufike ujionee.
 
mbona mnataabika sana? Hii ni nchi huru fanya unachokitaka, kila anachokisema kiko relevant na muda anaousema wa kukemewa anakemewa, wakuonywa anaonywa, wa kupongezwa anapongezwa. Ni mchungaji asienyamaza anasimamia haki. Mbona alimwambia nabii tito ukweli na akamuombea ila akaamua kurudi. Acheni Mungu amuhukumu na sio nyie maana yeye ni binadamu kama sisi. Ukionewa unakaa kimya??? Hapana, you attack. Mmekaa kumsema vibaya kama vile hana jema alilofanya. Mmekaa kama vibaraka.
Time will tell until punguzeni kupepeta hio midomo eboo
Wanamhukumu kwasababu na yeye alimuhukumu Baba askofu Pengo na wengine wengi tu. Na kuhusu neno haki lina maana pana sana
 
pamoja nakuwa alisema yote au hakusema waliokuwapo katika jimbo hilo nilipi walilolifanya la kubadilisha kawe na watu wake kupata maendeleo..


tusiwe wasemaji tuangalie mbele wetu na taifa leo kwa ujumla katika kuleta maendeleo kupitia yeye kwa wakati huu...

mimi naona unafaa na kura yangu nakupa ...naimani kuwa utafanya mabadiliko makubwa....
 
Mbona mnamshambulia sana, huenda kuliko watia nia wote kana kwamba tayari ameshateuliwa kupeperusha bendera!

Hii ni dalili kuwa Gwajima ni tishio sana hivyo nguvu kubwa inatumika kumchafua, kamati ya maamuzi sio wajinga.
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Sasa wote aliowatukana muda wa kumfundisha adabu umefika,hakuna kumpa kura
 
Kazi ya mbunge sio kukuletea maendeleo, ikiwa mtu unaamini katika hili basi ni mwenye uwezo wa chini sana kifikra... na ndio wengi katika Taifa hili.
Hii imepelekea wagombea kutumia neno hilo kwenye ahadi zao, wakijua kabisa sio sahihi... bahati mbaya wengi hawa ndo wapiga kura.
pamoja nakuwa alisema yote au hakusema waliokuwapo katika jimbo hilo nilipi walilolifanya la kubadilisha kawe na watu wake kupata maendeleo..


tusiwe wasemaji tuangalie mbele wetu na taifa leo kwa ujumla katika kuleta maendeleo kupitia yeye kwa wakati huu...

mimi naona unafaa na kura yangu nakupa ...naimani kuwa utafanya mabadiliko makubwa....
 
Naona mchungaji hapo anasogezwa kwa system iliapotezwe vizuri.
Yaani et kisa uunge juhudi huku wanajua ulikuwa mwiba bila kushinikizwa na yeyote (hamna aliyekuwa nyumayako) afu upewe nafasi, hicho chambo cha kumpoteza
 
Ukistaajabu ya Musa.

Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?

Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.

Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?

Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!

Muda utasema, Inshallah!
Muda mwingine uwe unatumia akili hata kama unazo ndogo. Kwani gwajima kuota tatizo liko wapi kwani Kuna aliekatazwa kuwa na ndoto na akazisema hadharini??
Kwani si ndio nyie wapinzani mliokuwa mmnamshabika akiwa anakemea maovu ya serikali??

Kiufupi hamna jipya mmeishiwa ndio maana mnahangaika sana na Hoja za kipuuzi
 
Inaonyesha mtia Nia huyu anawanyima Sana usingizi poleni sana
 
Back
Top Bottom