Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBONA kila nyumbu anayekuja upande wa pili anakuwa Tembo? Yawezekana hawa nyumbu ni bora kuliko hata falu JohnKuna ajabu gani yeye kugeuka!?
Mlikuwa mkimshabikia sana na kuungana nae. Leo kageuka kawa adui. Nanyi mmemgeuka. Hamumuungi tena mkono. Kisa... Kakataa kuendelea kuwa nyumbu.
Kama mlivyogeuka. Nae kageuka
Kutokana na ugumu wa maisha iliyopelekea ukata Ile biashara ya awali hailipi ni muhimu kuchagua biashara mpyaUkistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
Sahivi anatrend number 1 huko pornhub na xvideos, askofu wa mizimuVideo yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Ni haki yake kikatiba,sema ataweza tumikia mabwana wawili yaani Mungu na shatan at the same time?Ukistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
We uliskia wapiBENAI, Kanisa la mizimu halilipi tena.. Huyo ndio anaondoka ivyo
Utashangaa siku anaukwaa urais ndio utajua lina lipa ama halilipiBENAI, Kanisa la mizimu halilipi tena.. Huyo ndio anaondoka ivyo
Kwahiyo ulitaka asiwaseme?? Hata wewe ukiingia kwenye 18 zake anakugonga nyundo za kutosha alafu acha kujiita mkazi wa kawe wakati unaishi mpanda vijijiniUkistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
Kwahyo inakuhusu ninUkweli ni kwamba wengine ni changia chama tu .
Wewe mwenyewe ulipatikana kwa uzinzi tena pagalaniHuyu mzinzi anafikiri ni misukule ndio inapiga kura.
Kumbe ni wale aliokuwa akiwadharau.
Yeye ndo mamba mwenyewe sasaBaada ya kujua ule usemi wa "Usitukane mamba kabla hujavuka mto" Yeye alipojiona tayari katukana akajitengenezea vazi zito sana na gumu sana la chuma ili asidhurike na huyo mamba aliyemtukana.
Sasa kilichotokea ni kweli yule mamba hawezi kumla lakini na yeye haokoleki kutokana na lile vazi linavyozidi kumzamisha mtoni!
Kama we kidume nawewe nenda katreandSahivi anatrend number 1 huko pornhub na xvideos, askofu wa mizimu
Hiiiii we ndo mnafiki namba moja umejuaje Kama nimnafiki mnafiki anamjua mnafiki mwenzakeAnasikitisha sanaa , kweli siku za mnafiki sio nyingi
Hata uchaguzi bado lakin watu mnaogopa hatari hebu kitulizenWafadhili hawatoi hela baada ya kujua hali halisi unategemea nini? Jiulize zile mbwembwe za kununua ndege zimeishia wapi?
We mjinga kaa kimyaaaVideo yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Wewe ndio ulikuwa mtunza fedha wake nini? Maana unaisema bilioni utadhani unaufahamu ina rangi ganiUmesahau kuwa alichangisha bilioni 1 kwa waumini wake ili kujenga mji mpya kule kibaha pwani ambao angeuita mji wa mwana kondoo. Mwaka 6 sasa haijulikani fedha zilienda wapi kwani hata kanisa tu hajawahi kujenga.
Biblia imesema tuwakatae manabii wa uongo na kuwatambua kwa matunda yao.