kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kwani hii video itaoneshwa kwa Wajumbe siku ya mkutano mkuu wa Jimbo?Video yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Sio bure kaka wanafanya featuring na uchawiIna maana hakuna kufufua tena kwa mtindo ule wa Lazaro?
Hamna misukule kuitoa darini tena? Ila jamani Mzee wa mkono wa Baunsa ni genius hasa! Maana ameweza kuwavuta maelfu kwa maelfu ya watu wa kawaida hadi wanasiasa hadi alipoharibu kwa kumpiga Uno kondoo wa zizi lake.
Alimwaminisha sana Slaa hadi wanaomwamini Slaa wakamwamini na yeye.
Sasa hivi akawa anapata mpaka mwaliko jengo jeupe la Ferry na anapewa nafasi ya "kuliombea" taifa!
Mzee wa Uno ni genius kweli!
Hivi ameshindwa kuitoa 🤗🤗🤗Video yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Weka ka attachment tujikumbusheUkistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
Atakwambia mbona hata yule Mchezaji wenu Mkongwe wa timu pendwa alikuwa na yake...na bado yupo uwanjani anakitifua juzi katia mbili kambani....yaliyopita si ndwele bana.Video yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Dawa yake ni kumpiga chiniUkistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
Itoshe kusema nimechukua fomu (katika sauti ya Gwajima)Ukistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
Ukweli ni kwamba wengine ni changia chama tu .
Form ya CCM inalipiwa na yeye kachangia CCM itoshe kusema kachangia CCM hawezi kupenya kwenye mchujo kwani CCM wanajua Gwajima hawezi mziki wa Halima mdeeUkistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo.
Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School.
Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge kwake ni kujishusha'! Loh, leo anaingia ktk 18 zetu wakaazi wa Kawe?
Katika yote hakuwa pahala aliomba msamaha!
Muda utasema, Inshallah!
itoshe kusema kachangia CCM si zaidi ya hapo tenaItoshe kusema nimechukua fomu (katika sauti ya Gwajima)
Unaruhusiwa kumkataa,badala ya kuhatarisha afya yako kwa kulalama
Wengi hutumia hata ndumba za makabila ya hapo hapo nyumbani TanzaniaMizimu ya ki Nigeria inakuwaga na muda wake na ukiisha huwezi tena ku renew
Mizimu imegomaWafadhili hawatoi hela baada ya kujua hali halisi unategemea nini? Jiulize zile mbwembwe za kununua ndege zimeishia wapi?
Mbona mnaongea as if matokeo tayari,kwanza naomba kujua huko Kawe anapambana na kina nani ambao ni maarufu
Halima mdee analo file lake lote wanasubiria CCM wampitishe kivumbi kianze asikie madhambi yake yote na ndipo atajuuta kuipenda siasa.Umesahau kuwa alichangisha bilioni 1 kwa waumini wake ili kujenga mji mpya kule kibaha pwani ambao angeuita mji wa mwana kondoo. Mwaka 6 sasa haijulikani fedha zilienda wapi kwani hata kanisa tu hajawahi kujenga.
Biblia imesema tuwakatae manabii wa uongo na kuwatambua kwa matunda yao.
Mwenye jimbo lake