Uchaguzi 2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

Nimhubiri duni kuliko wote nilowahi kuwaona,hutumia madhabahu kuwasema kuwatusi na kuchafua watu ili apate umaarufu. Alimchafua hata kikwete na nimtu muongo mwenyevinyongo vyakishetani. Huombea watu mabaya na kulaani watu vilevile ni mbaguzi wa wazi wa kikabila (nimkabila)!! Nimuongo na kigeugeu alishasema hawezi kutaka urais,uwaziri wala ubunge!! Huwa hajihusishi kusaidia maskini anajirundikia mamali kwa kutumia dini kwa faida yake.
HAFAI HAFAI HAFAI ninaamini sana DSM has a kawe sio wajinga wakamchagua bora angeenda kijijini kwao huko usukumani.
 
Video yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Kwani hii video itaoneshwa kwa Wajumbe siku ya mkutano mkuu wa Jimbo?
 
Sio bure kaka wanafanya featuring na uchawi
 
Sehemu kubwa ya shughuli za kisiasa ni utapeli, ulaghai,uongo......

Sasa huyo unayemsema amekidhi hivyo vigezo vyote tofauti ni kuwa tu alikuwa kwenye sekta nyingine...ni sawa na kumzuia mlevi asiingie baa ya mbege kisa tu alikuwa anakunywa whisky na bia..mlevi ni mlevi tu.

Hata Nabii Tito ana hivyo vigezo.
 
Weka ka attachment tujikumbushe
 
Video yake ya mauno kule xvideo na xnxx inakimbiza balaa, nitawashangaa sana wakazi wa Kawe kama watakubali kuwakilishwa na huyu mcheza picha za ngono.
Atakwambia mbona hata yule Mchezaji wenu Mkongwe wa timu pendwa alikuwa na yake...na bado yupo uwanjani anakitifua juzi katia mbili kambani....yaliyopita si ndwele bana.
 
Dawa yake ni kumpiga chini
 
Itoshe kusema nimechukua fomu (katika sauti ya Gwajima)
 
Form ya CCM inalipiwa na yeye kachangia CCM itoshe kusema kachangia CCM hawezi kupenya kwenye mchujo kwani CCM wanajua Gwajima hawezi mziki wa Halima mdee
 
Umesahau kuwa alichangisha bilioni 1 kwa waumini wake ili kujenga mji mpya kule kibaha pwani ambao angeuita mji wa mwana kondoo. Mwaka 6 sasa haijulikani fedha zilienda wapi kwani hata kanisa tu hajawahi kujenga.

Biblia imesema tuwakatae manabii wa uongo na kuwatambua kwa matunda yao.
 
Halima mdee analo file lake lote wanasubiria CCM wampitishe kivumbi kianze asikie madhambi yake yote na ndipo atajuuta kuipenda siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…