cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Namshauri Rais asimtoe Waziri maana gwajima boy mpotoshaji wewe ungekuwa Waziri umgefanyaje kwa upotoshaji wakeI hope Dorothy hatajibu
Otherwise Mama SSH tunaomba umtoe hapo.,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshauri Rais asimtoe Waziri maana gwajima boy mpotoshaji wewe ungekuwa Waziri umgefanyaje kwa upotoshaji wakeI hope Dorothy hatajibu
Otherwise Mama SSH tunaomba umtoe hapo.,
Mimi naamini yule ni Gwajima [huyu askofu] kwenye ile sextape.Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.
Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
NASHANGAA KWA NINI WANACHELEWA KUFANYA HIVO.
Kwa mfano hoja gani? Naomba nijibu mimi kwa niaba ya GwajigirlIla tuache utani mpaka sasa askofu gwajima ana hoja ambazo hazijajibiwa badala yake tunamshambulia yeye badala ya hoja yake kuijibu!
Alikuwa anatoa mifano mingi zaidi ni kwa namna gani huyo mhuni hafai kuaminiwa. kuna tatizo ktk uthibitisho huo mwingine wa uhuni wa huyo mhuni?!!!Hivi kwani chanjo ya Corona na maswala ya Gwajima kukamatwa na warembi,vina uhusiano gani??
Yaani waziri mzima MD badala ya kujibu hoja za Gwajima juu ya Corona anakimbilia kutuambia mambo ya kina Chifupa sijui warembo!
Wizara ya afya ni hovyo kabisa.
Siyo rahisi kama unavyofikiria!Huyu bado kidogo watamnyang'anya kibali cha kanisa
Tunahitaji hoja za kitabibu...MD mzima kutoa mipasho badala ya hoja za kitabibu ni wendawazimu.,yaani badala ya kujibu hoja zake yeye anamshmbulia na kumuelezea yeye.Alikuwa anatoa mifano mingi zaidi ni kwa namna gani huyo mhuni hafai kuaminiwa. kuna tatizo ktk uthibitisho huo mwingine wa uhuni wa huyo mhuni?!!!
Chanjo ni hiariNamshauri Rais asimtoe Waziri maana gwajima boy mpotoshaji wewe ungekuwa Waziri umgefanyaje kwa upotoshaji wake
Imeshindwa serikali nzima utaweza wewe ndugu, hata hao waliounda chanjo wenyewe wameshindwa kujibu utaweza wewe ndugu yangu!Kwa mfano hoja gani? Naomba nijibu mimi kwa niaba ya Gwajigirl
Magu alimtoa Sabaya lini?I hope Dorothy hatajibu
Otherwise Mama SSH tunaomba umtoe hapo.,