Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Anawahamisha kwenye issue ya tozo na kesi ya Mbowe mpuuzeni anatumika huyo
 
Kanisa la Gwajima ni kama vile stand up comedy ya bure. Ningekuwa Bongo ningehudhuria kila week. Unatoka hapo na furaha kwa kiburudisho cha bure.
 
Tuangalie na kutafakari mantiki ya swali;

1. Kwanza tukumbuke kuwa swali hili anaulizwa shemeji mtu Dr Dorothy Gwajima, kuwa let's assume that "nilikamatwa" na mrembo, so what....?

2. And again, anaulizwa shemeji mtu Dr. Dorothy Gwajima kuwa, let's assume that, "nilikamatwa" na mrembo, je hiyo inajibu hoja za wanaotumia "hiari yao" kukataa chanjo hii na hivyo kuamua kutochanjwa...?

Kifupi sana, hili ni swali lenye kejeli ndani yake kwa sababu waziri Dr. Dorothy Gwajima anatumia uongo wa kingono za kutengenezwa kwa kutumia computer technology kumchafua Rev. Bishop Josephat Gwajima ili kujenga hoja za watetezi waliotumia "hiari ya kuchanja" kwa wao wenyewe kuamua kuchanjwa...

SASA, anamuuliza Dr Dorothy Gwajima, iweje unatumia kashfa za uongo za kutengeneza dhidi ya kiongozi mkuu wa movement ya "HAKUNA KUCHANJWA?" Bishop Rev. Dr. Josephat Gwajima..? Je ni kwa sababu anavuruga maslahi yao kwa kuhamasisha watu kukataa chanjo kwa sababu za kisayansi na kiroho...?

Kuna siri gani iliyo nyuma ya chanjo hii ya UVIKO 19 kwa viongozi wa serikali hii ya Samia kiasi cha kutumia uongo na hadaa kutaka watu wachanjwe tu...??
 
Tuangalie na kutafakari mantiki ya swali;

1. Kwanza tukumbuke kuwa swali hili anaulizwa shemeji mtu Dr Dorothy Gwajima, kuwa let's assume that "nilikamatwa" na mrembo, so what....?

2. And again, anaulizwa shemeji mtu Dr. Dorothy Gwajima kuwa, let's assume that, "nilikamatwa" na mrembo, je hiyo inajibu hoja za wanaotumia "hiari yao" kukataa chanjo hii na hivyo kuamua kutochanjwa...?
Ndo nilivoolewa pia
 
Drama za kina Gwajima hakika zimefanikiwa na zinafanikiwa zaidi kuwahamisha wabongo kwenye jambo fulani. Kwa wale tunaofuga Mbwa nadhani mnajua namna ya kumuhamisha Mbwa anayekubwekea.

Hakika ...... Imefanikiwa sana
 
Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.

Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
Ni dawa ipi inayotumika hospitali ambayo tumeifanyia utafiti
 
Back
Top Bottom