Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Askofu au kiongozi wa dini yoyote, au serikali ni watu wanaoheshimika sana katika jamii,mahubiri yao yanapaswa kuheshimiwa na waafuasi au jamii inayowazunguka kwa ujumla.vitabu vya dini vinakataza vitendo vya ovyo kwa waumini wao au jamii,miongoni mwa vitendo hivyo ni kukemea vitendo vya zinaa au uzinzi.Makanisa na Miskiti iwe Ina kemea viongozi wa taasisi zao kukengeuka ,wawe wanaishi kwa kufuata maadili mema na kujizuia kufanya vitendo vya ovyo na Wala siyo ufahari kujinasibu kwa vitendo vya vinavyokatazwa na maandiko ya neno la mungu,mkeo wa ndoa na wanao wanajisikiaje wanaposikia malumbano Kama haya kutoka kwa watu wanaowaamini na kuwaheshimu.
 
Haaaa ha haaaa, ila ukishindana na mwanamke mwenye kisomo au position yoyote achia mbali uwaziri, ujue mwanaume utashindwa tu, Gwajima pastor fake najua atafukuzwa CCM very soon.
 
Haka ka mjamaa kumbe kalivunja amri ya sita kweli... ha ha ha kakambementa binti wa wenyewe!!
 
Kuna ubaya mkubwa hasa kwa mtumishi kama wewe, unaonyesha mfano gani? Chunga kondoo wa bwana kwa uadilifu.
Mchunga kondoo hahusiki chanjo ya kondoo ila mwenye kondoo anatakiwa awe makini na kondoo wake wakirejeshwa zizini.
 
Leteni madhabahoni mwa bwana vilivyonona & na mtumishi wa bwana atakula vilivyomadhabahoni mwa bwana [emoji23][emoji23]acha ajipigie maana ni vyake
 
Na misukule yake inashangilia!
Kwani kanisa limekuwa uwanja wa siasa?
Hakuna shida ukiwa na wajinga wanakupigia makofi na sadaka wanatoa swala la imani ni la hatari sana ukitaka kujua tafuta taalifa ya mtu anaitwa kibwetele wa uganda utajua imani ilivyo
 
Wapo watumishi wengi wanakula raha kama hizo,shida ni kujirecord huku akikatika mauno ya afile munu na asigale munu kama yale
 
Duuuh kanisa limegeuka sehemu ya mipasho, anakosea sana waumini wake, angeweza kumjibu waziri sehemu yoyote sio Siku ya ibada.
 
Wehu wamekutana kuendelea kuwafuatilia ni wehu pia
 
Back
Top Bottom