Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Uzinzi ruksa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nchi hii walokole na watapeli wenu wanajiita maaskofu kama huyo gwajima sijui huwa wanawapa nini maana wote mpo kama watu ambao akili zime freeze.Alisema Askofu Gwajima hana utaalamu wa mambo ya afya,nikajua ataleta Sasa hoja za kitaalamu,,,
Yaani anakuja anamjibu anamwambia eti mbona Rais amechanja.
Rais kuchanja siyo tija,kwanza hata Rais hana taaluma ya utabibu.
Haya mambo yanajibiwa kipumbavu Sana.
Your implication is not correct!View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Nchi ipi haina wajinga?Nchi hii inaujinga mwingi sana, daah
I didn’t imply anything!Your implication is not correct!
Oh sorry,you posed a question!I didn’t imply anything!
Kwani mada ni Gwajima na video za ngono au mada ni Chanjo ya Corona?Ila nchi hii walokole na watapeli wenu wanajiita maaskofu kama huyo gwajima sijui huwa wanawapa nini maana wote mpo kama watu ambao akili zime freeze.
Kwahiyo hoja za video za ngono ndio zina majibu juu ya mambo ya Chanjo?Kweli watanzania tuna akili mbovu kupitiliza. Video ya ngono, inaonyesha kwamba siyo mtu mkweli na hawezi kuaminika. Ni tapeli na mpotoshaji. Watanzania wengi ni wajinga ndiyo maana. Akiweza kumsaliti Mungu anayemuamini kwa kumdanganya Mungu mwenyewe ndo itakuwa binadamu wenye akili za nyumbu?
Mimi binafsi nafkili huyu mama sio MD maana vitu anavyovifanya sio professional naomba tu rejee cv yakeTunahitaji hoja za kitabibu...MD mzima kutoa mipasho badala ya hoja za kitabibu ni wendawazimu.,yaani badala ya kujibu hoja zake yeye anamshmbulia na kumuelezea yeye.
Huwezi kuthibitisha ama kutoa majibu ya chanjo kwa hoja za video za ngono...ni upumbavu.
Ni MD,pia nasikia amespecialeze kwenye public health.Mimi binafsi nafkili huyu mama sio MD maana vitu anavyovifanya sio professional naomba tu rejee cv yake
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Gwajima la Kinyiramba linapepewa na good karma, Leo sijui atajibu nini?Yule Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alikuwa akipigwa mashambulizi alikuwa hajibu mpaka upepo ukatulia(Kila jumapili mchungaji alikuwa analeta habari mpya kwa waumini),tuliyajua mengi hadi kijiji cha Kolomije!!!
Sasa Waziri aache kujibu yanayoendelea ili upepo upoe ,la sivyo,safari ya kisiasa itakuwa fupi,maana Waziri alizoea kudhalilisha wengine mbele ya vyombo vya habari sasa Mungu anampitisha mule mule!
Na vipi video za waziri na msaidizi wake wanakataa ukali wa covid na kubeza chanjo zake! Wana tofauti gani na Bishop?Video ya ngono, inaonyesha kwamba siyo mtu mkweli na hawezi kuaminika. Ni tapeli na mpotoshaji.
Haya sasa ni mshubiri? Anafundisha watu wake kuwa watu wa mipasho!!!!!View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
You guys need to wake up, msiwe kama mazezetaKwani mada ni Gwajima na video za ngono au mada ni Chanjo ya Corona?
Basi hata wewe akili yako imeganda tu .
Hiyo ndiyo Injili mpya mjiniHaya sasa ni mshubiri? Anafundisha watu wake kuwa watu wa mipasho!!!!!
Huyo ngabu naye hajielewi tu, na yeye ni walewale mipasho!Ndg nakuheshimu sana lakini nimekushangaa kuchukua kipande kimoja cha aliyoyasema Gwajima badala ya kuleta mjadala wa hoja alizomjibu waziri.
Nawashangaa mnaomshangaa Gwajima, mjibuni kwa hoja na si kuleta udaku!!
Miafrika ndivyo tulivyo.Ila huyu askofu anapenda sana drama!
Ulitaka awe shoga....Ndio mara ya kwamza kumuoma kiomgozi wa dini akijisifia mbele ya kadamnasi kwa uzinzi. Nadhani hii ndio funga mwaka kabisa.
Kiongozi wa dini haoni aibu kufanya uzinzi.