Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Waziri ajibu hoja ya gwajima, ajibu kitaaluma zaidi.
Mambo ya mrembo hayatuhusu kwa sasa yalishapita.

Wanaume mmeumbwa kwa tamaa kilichomtokea gwajima hata wewe waweza kikakutokea.
 
Bibilia Inasema na ninanukuu
Tuwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa
Ili wayaonapo matendo yetu mema wamtukuze Mungu.
Sasa kama umeamua kuhalalisha zinaa basi utuambie unayemtumikia.
 
Global ajenda ikawaathiri mpaka wao wenyewe?

Hamjafanya utafiti, huo uwezo wa kufanya hizo tafiti mnao? kama upo fanyeni mnasubiri nini?

Anataka mdahalo na wanasayansi, akiambiwa tafiti inapingwa kwa tafiti atajibu nini? au ataleta ngonjera zake za kuwafurahisha mashabiki wake.

Alisema Corona haitakuja nchini, ikawaje? now anajidai hataki kuchanjwa ili kuwazubaisha msio na kumbukumbu ya uongo wake.
Kwani wanaodrive global agenda wanajali kuhusu taifa? All they care is money, kila kitu kwao ni fursa.

Gun lobbies wao wanachojali ni kuuza bunduki.
Big pharma wao wanachojali ni kumake big profit.

Mi simkubaligi Askofu Gwajima lakini cha kushangaza katika suala la corona na kinga zake he is coming across as way more intelligent than I thought.
 
Technically he has admitted that he is the one in that sex video.

This man is not a true prophet of GOD. True prophets never commits adultery or fornication.
 
Sasa naamini hii ni michezo ya kutusahaulisaha tozo na masuala mengine yanayotuumiza wananchi! Lao ni moja.
 
Ndg nakuheshimu sana lakini nimekushangaa kuchukua kipande kimoja cha aliyoyasema Gwajima badala ya kuleta mjadala wa hoja alizomjibu waziri.


Nawashangaa mnaomshangaa Gwajima, mjibuni kwa hoja na si kuleta udaku!!
TAGA siamini ni wewe unalalamika. Siku hizi mmejuwa wapoleeeee
 
Mtu asie na utaalam wa mambo ya afya na utabibu(Bishop Gwajima) anauliza maswali kuhusu chanjo, mtaalam wa afya na utabibu MD na waziri wa afya badala ajibu maswali kitaalam ana amua kumshambulia personally muuliza maswali.

Hapa weledi wa waziri uko wapi? Kuna majibu mawili tu unapata ukifikiria majibu ya waziri kwa bishop. Haijui corona wala chanjo zake na anachokifanya ni kwenda tu na script.

Hamna wakati Antony Fauci alipitia wakati mgumu kama kipindi maambukizi yako kwenye peak USA ila hamna wakati huyu mtaalam aliwashambulia personally wauliza maswali.

Waziri wetu uswahili unamzidi hadi anapitiliza miiko na maadili ya kazi yake.

Mi nimuulize maswali mtaalam mmoja JF kuhusu mambo nisiyoyaelewa hapa jukwaani halafu badala anijibu kitaalam aanze kunishambulia kuhusu user name yangu, avatar, muda niliojiunga JF, aina ya mada nazovutiwa kuchangia nk! Si utoto kabisa?
 
Muda si mrefu kauli za "anachanganya dini na siasa" zitaanza
 
Mtu asie na utaalam wa mambo ya afya na utabibu(Bishop Gwajima) anauliza maswali kuhusu chanjo, mtaalam wa afya na utabibu MD na waziri wa afya badala ajibu maswali kitaalam ana amua kumshambulia personally muuliza maswali.

Hapa weledi wa waziri uko wapi? Kuna majibu mawili tu unapata ukifikiria majibu ya waziri kwa bishop. Haijui corona wala chanjo zake na anachokifanya ni kwenda tu na script.

Hamna wakati Antony Fauci alipitia wakati mgumu kama kipindi maambukizi yako kwenye peak USA ila hamna wakati huyu mtaalam aliwashambulia personally wauliza maswali.

Waziri wetu uswahili unamzidi hadi anapitiliza miiko na maadili ya kazi yake.

Mi nimuulize maswali mtaalam mmoja JF kuhusu mambo nisiyoyaelewa hapa jukwaani halafu badala anijibu kitaalam aanze kunishambulia kuhusu user name yangu, avatar, muda niliojiunga JF, aina ya mada nazovutiwa kuchangia nk! Si utoto kabisa?
Alisema Askofu Gwajima hana utaalamu wa mambo ya afya,nikajua ataleta Sasa hoja za kitaalamu,,,
Yaani anakuja anamjibu anamwambia eti mbona Rais amechanja.
Rais kuchanja siyo tija,kwanza hata Rais hana taaluma ya utabibu.

Haya mambo yanajibiwa kipumbavu Sana.
 
Ndio mara ya kwamza kumuoma kiomgozi wa dini akijisifia mbele ya kadamnasi kwa uzinzi. Nadhani hii ndio funga mwaka kabisa.
Kiongozi wa dini haoni aibu kufanya uzinzi.
 
Back
Top Bottom