fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Absolutely yesView attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Na chura pia.🐸🐸
Haakuwa na maana hiyo kama wew ambavyo ume elewa kwa kuchukua kipande kidogo....View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Mchunga kondoo hahusiki chanjo ya kondoo ila mwenye kondoo anatakiwa awe makini na kondoo wake wakirejeshwa zizini.Kuna ubaya mkubwa hasa kwa mtumishi kama wewe, unaonyesha mfano gani? Chunga kondoo wa bwana kwa uadilifu.
Mtumishi hapaswi KUZINI ....... KUZINI kwenye amri kumi za Musa ni dhambi 6. Kwenye order inafuatia baada ya USIUE na ni kabla ya USIIBE.Mtumishi hapaswi kula raha?
Yaani amtoe Dorothy kwenye uwaziri sababu ya kelele za Taperi gwajima,we msukule wa gwajima huna akili Nini!!!!I hope Dorothy hatajibu
Otherwise Mama SSH tunaomba umtoe hapo.,
Mama wa mitambo kalikoroga vibaya mno.Waziri ameyataka mwenyewe kwa kumu-attack personally Rev. Gwajima kwa kumkejeli na kumdhihaki!
Huenda hamjui vizuri.
Kwa hiyo ukamtafuna....View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Hakuna shida ukiwa na wajinga wanakupigia makofi na sadaka wanatoa swala la imani ni la hatari sana ukitaka kujua tafuta taalifa ya mtu anaitwa kibwetele wa uganda utajua imani ilivyoNa misukule yake inashangilia!
Kwani kanisa limekuwa uwanja wa siasa?
Pesa imemfanya atoke kwenye utukufu...View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Kwa Mtumishi wa Mungu Raha ni Dhambi.Mtumishi hapaswi kula raha?
Hapaswi kutenda dhambiMtumishi hapaswi kula raha?