Yaap, lakini mkuu rangi ya mapazia haifanyi ile video kuwa sio mtumishi wa Mungu, inawezekana picha alopiga kwenye pazia ya zambarau yapo upande mmoja na ile picha nyingine imepigwa upande mwingine au picha moja imepigwa chumbani na nyingine imepigwa sebleni maana yangu ni kuwa kunaweza kuwa na nadharia nyingi juu ya hizo pazia hivyo jambo la msingi ni kudhibitisha kuwa yule anayegegeda sio mtumishi wa Mungu kwa kuleta reference.Mbona kwenye ile clip alokuwa kifua wazi moja ya rangi za mapazia ni zambarau na kwenye ile anayomtia mapazia yake hayana hiyo rangi kabisa? Itakuwa ni ya uongo hii
Umemaliza mkuuu mwambie Gwajima aliyeanzisha huu uzi aje kivingine hapa kafeliBefore make up & After Make up / Kwenye Ulimwengu wa Giza & Kwenye ulimwengu wa MwangaView attachment 1090845
Acha ujinga bongo hakuna wachungaji ni uhuni tu mbona wengine ni marafiki zetu na tunawajua vizuriUkiwa na maadui wa aina alionao Gwajima haiwezekani ukose kashfa. Watazitengeneza hata kwa ghrama ya uhai wa binadamu mpaka wafikie lengo lao. Nitakuwa wa mwisho kuamini ujinga huu!!!!!
Hahaaaahaaa!!unooooNaona gwajima unajaribu kujitetea ...ndio imeshakula kwako hiyo
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amekula kondoo aliyenona
Lakini wewe upo?Okay.
Acheni Gwajima ale watoto wazuri. Ubaya uko wapi, tena yeye anakula wanawake. Kuna wale wanafira watoto na kulawiti wanaume wenzao.
Mashehe na maimamu wanabaka watoto daily madrasa. Iwe Gwajima, tena anakula mwanamke, sijasikia kama ni mkwe wa mtu au mwanafunzi.
Mwisho kabisa, dini ni utapeli kama utapeli mwingine. Mungu hayupo.
Ndio nitaelewa baadae amaUnooooo la gwajiboiii
Nipo ndio naandika hapa. Yeye yuko wapi?Lakini wewe upo?
Hayupo, ndio yeye huyo Sasa!!!
Watu wengine sijui gwajima anawapiga ukuni......yaank video inaushahidi wote wewe unaleta porojo zako hapa.....fala kweli kweli
Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.
Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
Original video ilirekodiwa Alhamisi tarehe 15/11/2018 saa 2:49 usiku.
Ukweli utajulikana tu
OK, ila ukilala flat kitambi kunapotea na hasa kikiwa kitambi mtepeto kama changu. Ila kitambi mbonyeo noma, kinaahibisha sana.Mi mwenyewe mwanzoni nilijua yeye 100% but meiangalia video vizuri nimeanza kuhisi sio yeye...ukiangalia tumboni gwajima ana kakitambi flani but kwenye iyo video jamaa hana kitambi kabisa
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaHapo utakuwa unatoka jasho huku umevaa shati kubwa la zambarau umelichomekea.
Huwezi kumuona kwa macho hayo uanayotumia kutazamia ukiandika text.Nipo ndio naandika hapa. Yeye yuko wapi?
Hayupo. Kwa hiyo kuna wengine aliwapa roho ya kumuona wengine akawanyima? Hao aliowanyima sio yeye aliewaumba au ni mwingine?Huwezi kumuona kwa macho hayo uanayotumia kutazamia ukiandika text.
Yeye ni roho. Hashikiki pia.
Walio wa roho humuona na hawana shaka juu ya uwepo wake.
Fuata maneno yangu usifuate metendo yang
Sawaaa labdaaOK, ila ukilala flat kitambi kunapotea na hasa kikiwa kitambi mtepeto kama changu. Ila kitambi mbonyeo noma, kinaahibisha sana.
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Ukitaka kumuona utamuona.Hayupo. Kwa hiyo kuna wengine aliwapa roho ya kumuona wengine akawanyima? Hao aliowanyima sio yeye aliewaumba au ni mwingine?
Sijawahi kuwaamini hawa wanaojiita wachungaji,manabii,wafalme,ni majizi tu,majasiliamali ya kutumia dini.Before make up & After Make up / Kwenye Ulimwengu wa Giza & Kwenye ulimwengu wa MwangaView attachment 1090845