Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Mbona kwenye ile clip alokuwa kifua wazi moja ya rangi za mapazia ni zambarau na kwenye ile anayomtia mapazia yake hayana hiyo rangi kabisa? Itakuwa ni ya uongo hii
Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
 
Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
Mkuu umepima kutumia Nini kwenye video?
 
Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
Hayo sio mapenzi bali ni MAHABA kwa Gwajima.
 
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.


Msukule wa Gwajima (Njemba Soro.) , we endelea kujidanganya tu, si kosa lako. Kumbuka hizo dawa alizokunywesha ndizo anazowanywesha madada wa kanisani kwake na kuwatoa bikra huku akijiita nabii.
 
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Peleka ujinga wako huko
Pumba
 
Ukiwa na maadui wa aina alionao Gwajima haiwezekani ukose kashfa. Watazitengeneza hata kwa ghrama ya uhai wa binadamu mpaka wafikie lengo lao. Nitakuwa wa mwisho kuamini ujinga huu!!!!!
Wajinga ndio waliwao
 
Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
Mi mwenyewe mwanzoni nilijua yeye 100% but meiangalia video vizuri nimeanza kuhisi sio yeye...ukiangalia tumboni gwajima ana kakitambi flani but kwenye iyo video jamaa hana kitambi kabisa
 
Back
Top Bottom