Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Naona mnapambana mpaka jpili awe amesafishika kidogo biashara isichache safi sana
 
Kama hii ndio aina ya wataalamu tuliokuwa nao Tz.Bado tunasafari ndefu sana. Rudi shule mkuu, Ila safari hii usikariri.
 
Ningeshangaa misukule wake msingetoke....

Vipi wewe ni mmoja wa wanajeshi wa Jeshi la daudi kitengo cha ICT....

Acheni upumbavu nyinyi misukule wa Gwajima... Huyo Gwajima ni Muhuni kama Walivyo Wahuni wengine
 
Jana nimeeleza haya watu wamenitukana utadhani hilo jambo ni jema sana.

Ukweli utajulikana nakibaliana ile picha mwanaume amelala juu ya mwanamke sio Gwajima
 
Ahsante Pro wa ICT kweli ukiwa mtaalam unaweza kukrop. (graphics) visehemu vya picha na kuungaunga na kutengeneza tukio.
Kuna sababu ya kutengeneza hizo movie za Bshp Gwajima kwa lengo la kutuhamisha kudai Chadema. Mdude!
Plse. mrudishe kijana wetu Mdude akiwa mzima, acha kutupoteza!! Tumeshtuka!!
 
Hajaiona video konki huyo
 
Aliyezituma atafutwe simu yake ikaguliwe picha ya kumremodi mtu haiwezi kutokea hivyo, ni uzushi na roho mbaya, kupitia roho mbaya, madhara ya roho mbaya ni mbaya sana, tcra wafanye kazi yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemaliza kutoa utetezi wako?
Haya nenda kalale sisi tunaendelea kuburudika na video ya Gwajiboy
Hiyo n imeomba niwekewe kwenye PM zaidi ya mara tano lakini anona kimya
 
Unajua mlokole ni kama zombi ndo maana walichomwa na kibwetere
 
Haya ikagueni tuone hyo editing
Your browser is not able to display this video.
 
hawa jamaa wanajionaga watakatifu sana na dhambi ni za watu ambao sio walokole ndio maana wana judge sana dini zingine na kujibhesabia haki.
Unachuki binafsi acha ujinga ikiwa hakufanya photoshop inawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…