Na alikutwa na bastola wodini mnakumbuka? Alipoulizwa akasema ni ya self defense! Mchungaji anafundisha wengine kumtegemea Mungu wakati mwenyewe anategemea bastola! Amri ya Mungu inasema 'usiue', mchungaji ana bastola, ni ya kazi gani kama si ya kuua? Mtaibiwa sana!Nakumbuka wakati kaitwa sentro mlienda kuimba kwaya pale nje ya sentro!
Source?HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE:
_"Wakati anapambana na mimi kipindi cha operesheni yangu ya tokomeza madawa ya kulevya nilisema hawezi kunishinda kwa sababu najua sio mchungaji bali ni tapeli tu wa mjini anayetumia kanisa kutapeli watu._
_Niliamua kuwa mpole ili nione mwisho wa mashambulizi yake, sasa nadhani kwa pigo hili watu wataamua nani mshindi kati yangu na yeye._
_Nimeshatoa maelekezo kwa kamanda Mambosasa amsake popote alipo akaeleze kwanini amekuwa akiwanyanyasa waumini kingono"_
*- RC Makonda*
Sasa si ubaki hukohuko?Wasitutoe kwenye reli#Brings back Mdude
Achaa waangamie kwa kukosaa maarifaaHakuna editing ya vile
Ile ni sex for money broKweli kabisa nikiangalia lighting tu kwanza inanichanganya mwanamke na lighting nyingi mno kuliko chest ya mwana mme then mwanamke yupo out of focus Bado sijaamini
Unachuki binafsi acha ujinga ikiwa hakufanya photoshop inawezekana.
Download Google Chrome itafungua Clip zote bila tatizoWataalamu wa ICT, tunaomba mtusaidie tukinunua umeme wa Luku, uwe unaingia moja kwa moja kwenye mita. Siyo mpaka tukabonyeze vitufe.
Kwanza gwajima mwenyewe siyo fala kiasi hicho ajirekodi tena anafanya mapenzi tu.
Actually picha ya juu na chini kuna utofauti mkubwa sana hata wa physical appearance ya hao watu