Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

na wewe unajiona umeandika points kumbe upupu mtupu
 
mkuu comment yako imenitoa chozi
 
Video hiyo hata Mimi naitilia mashaka Kama NI halisi,Lema MB) aliwahi kutengenezwa video feki Kama hii ili wammalize kisiasa, Bahati nzuri mkewe alikuwa ngunguli
 
Too sad
 
Video ya kuunga picha ya kichwa cha gwajima. Die tunajua gwajima sio zungu la unga alas teja.picha hiyo sio yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…