Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Kwakweli ngoja tumuache
Huyo ni msukule wa gwajima achana nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni msukule wa gwajima achana nae
yule ni Gwajima kweli?
hii elimu ya shule ya kata kweli imewasaidia ku download pono peke yake, inaelekea hata hamjijui kama ni wa kiume ama wa kike.
ile clip si yeye, imetengenezwa na mtu anayefanana na yeye, na watu mmeonyesha sura zenu halisi yaani MBWEHA, majibwa ya kike, mnashadadia mtumishi ,mmeshindwa kwa jina la yesu
Nani kakwambia mwanamke ni wa pekee yako?Utakuja kugongewa hata mkeo utasema feki mijitu bwana
Mzee baba haijui ile style ya popo kanyea dari (kama nimepatia)Askofu kapiga Style moja tuu....
Ndio malalamiko yetu...
Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.
Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
pale kuna mkono wa jr na Musiba, ila Mungu hato mwacha mtu aharibu mtumishi wake, hakika shetani kafanikiwa kuwaonyesha ponograph, na nyie mmeingia mkenge, mnachekelea, shenzi zenu, watu wote wanao shadadi hwajui teknolojia, yule si gwajima , licheza pono flani
Naona gwajima unajaribu kujitetea ...ndio imeshakula kwako hiyo
Halisi sio hii?Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.
Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
Hapo utakuwa unatoka jasho huku umevaa shati kubwa la zambarau umelichomekea.
Every issue will be adhered to accordingly..Hapa kuna kati ya mambo matatu yanataka kupotezwa wa vichwa panzi wa Tz
1. Utajiri wa bashite
2. Mdude
3. Kifo cha machache (kma kweli kuna mkono wa mtu na ikisemekana mke ni spy wa jirani)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo makondooo yatamfata kaokoka lini? na simu janja zimeanza lini?*Gwajima kasema hiyo video ni kabla hajaokoka*
*THIS CASE IS CLOSED, OVER*[emoji1787][emoji1787]
Oanisha paji la uso wa picha ya juu na chini utaona tofauti kwa picha ya juu paji la uso limepanda juu na refu tofauti na picha ya chini paji la uso ni mviringo.
Labda tuseme picha ya chini ni photoshop but i dont see any...