Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nataka cheti mpaka nichukue tuzo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo makondooo yatamfata kaokoka lini? na simu janja zimeanza lini?
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]baba ana unoooo balaaa...vijana chukueni koziiiii
Kwani nataka cheti mpaka nichukue tuzo
huna lolote wewe, unataka tu tuipost hapa ili uipakue. mimi ninayo ila siipost ng'ooo.Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.
Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
Ikiwa ukweli, unateseka?Hamna cha feki, nyie wafuasi wake ndio mjipange namna ya kula sadaka za waumini innocent
Tumia software iitwayo REALITY DEFENDER utang'amua ukweliFafanua vizuri mkuu ufake wake, tuko humu wafuasi wake hatuelewi nini hiki tunakiona kikifanywa na Baba etu wa kiroho?
Hueleweki Mkuu....Tumia software iitwayo REALITY DEFENDER utang'amua ukweli
Hebu njoo pm kwanza maana ww nae au ndio ile kauli mbiu mvumilivu hula mbivuSio mpk chetii bwana weeee!!ila kuna raha yake
Doooo!Tumia software iitwayo REALITY DEFENDER utang'amua ukweli
insta yake ina followers 363 k , kama upo page nyingine ni fake ya wafuasi wa musiba na genge lake.Sikujua km ww Jaji unatafuta matusi ya nguoni tukutane, ina maana hata Instragam yake wanadanganya? zipo video 3 na picha ya muumini kibaoView attachment 1091028
Swali zuri sana akikujibu nitag mkuuNaomba kujua mkono wa Jr ni ule uliokuwa unarekebisha camera??
.Sawa mzee wa kuliamsha Dude!!!
Hongera kwa kumega mtoto mzuri.
Mi mwenyewe nimeikosa
Hebu taratibu ndugu mtumishi. Huyo Yesu sidhani kama kakutuma utukane watu. Au huko kwa Gwajima ndivyo mnavyofundishwa?yule ni Gwajima kweli?
hii elimu ya shule ya kata kweli imewasaidia ku download pono peke yake, inaelekea hata hamjijui kama ni wa kiume ama wa kike.
ile clip si yeye, imetengenezwa na mtu anayefanana na yeye, na watu mmeonyesha sura zenu halisi yaani MBWEHA, majibwa ya kike, mnashadadia mtumishi ,mmeshindwa kwa jina la yesu
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: