Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Nimeiona Video, Mimi sio Muumini wake but imenipa shida moyoni kuona Mtumishi aliyeaminika Kama Gwajima akianguka kizembe namna hii kisa Mwanamke.......
Mbaya zaidi alikua anaji record mweyewe!

Video original kabisa haina u fake wowote, ipo clear na aliji shoot kwa Mapenzi yake!

Gwajima kawapa chakusema watesi wake. ....
Aombe tu Msamaha kwa Waumini wake, kusema Video fake haisaidii kuondoa ukweli... .!

Kama umeiona ile Video unawezaje kupata nguvu kuja kumtetea Gwajima hapa? Labda kama umelipwa....!
 
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE:


_"Wakati anapambana na mimi kipindi cha operesheni yangu ya tokomeza madawa ya kulevya nilisema hawezi kunishinda kwa sababu najua sio mchungaji bali ni tapeli tu wa mjini anayetumia kanisa kutapeli watu._

_Niliamua kuwa mpole ili nione mwisho wa mashambulizi yake, sasa nadhani kwa pigo hili watu wataamua nani mshindi kati yangu na yeye._

_Nimeshatoa maelekezo kwa kamanda Mambosasa amsake popote alipo akaeleze kwanini amekuwa akiwanyanyasa waumini kingono"_

*- RC Makonda*


dah
 
Na pale alipokua anamaliza kupizi, nikasikia Sauti ikakamilisha 100% kuwa ni sauti ya Baba Askofu.
 
Nimeangalia hiyo video na Picha zinazotumwa kwenye mitandao kumuonyesha Mtumishi wa Mungu GWAJIMA akifanya mapenzi na mwanamke akiwa chumbani nimegundua ni zakutengenezwa..
Kwanza ifahamike, Mimi sio mshirika wa Gwajima wala siandiki ili kumtetea.Mimi ni mtaalamu wa maswala ya ICT, na nimefanyakazi nyingi sana za Photoshop na Editting za picha mbalimbali
Kwanza, nimefuatilia kuhusu hiyo video, ni kweli huyo ni Gwajima Ila hiyo sauti ya mwanamke inayosikika ni sauti iliyopenyezwa haitokani na uhalisia wa tukio
Pili, Hiyo picha inayomuonyesha Gwajima kwamba amelala juu ya mwanamke ni picha iliyotengenezwa, Ukiangalia maungo kati ya shingo na kichwa cha Gwajima kilipopachikwa utaelewa kuwa Gwajima hana shingo ndefu namna ile.Hicho kichwa kimekuwa croped kutoka katika ile video
Tatu, Mazingira ya video inayoonyeshwa na mazingira ya picha iliyotumwa hayaendani, angalia mapazia na background zimetofautiana kabisa
Nne, Ni swala la kujiuliza maswali ya logic tu ambayo yatakupa kujua Hilo tukio Si la kweli Bali kutengenezwa. Je ni nani ambaye Gwajima angekubali ampige picha wakati anafanya mapenzi?Kama huyo mwanamke ni mchepuko wake, Je Gwajima ni kwamba hana akili mpaka akubali kupigwa picha akiwa anafanya mapenzi? Hata kama angekuwa kweli yupo na mkewe au mchepuko, isingewezekana kukubali kupigwa picha, ajipige picha ili akamuonyeshe nani?
Hizi taarifa ni za uongo kabisa zenye lengo Si tu la kumchafua na Kumshushia heshima Gwajima Bali linachafua kanisa la Mungu kwa ujumla, hata kama Gwajima humpendi au sio mchungaji wako lakini kufurahia aibu na video hzi kwa Gwajima ikiwa ni Kuutukanisha Ukristo wako pia na kumtukana Mungu
Hivyo, Ikiwa kweli wewe ni mkristo wa kweli lazima utaukemea ushetani huu unaosambazwa na maajenti ya ibilisi kuuchafua ukristo kwa ujumla.Hivyo kushiriki kufurahia au kusambaza taarifa hizi chafu kwa kufurahia aibu hii kwa Gwajima ujue unashiriki kazi za shetani, na wewe ni mchafu wa namna hiyo hiyo
Shujaa CRM
 
Nimeiona Video, Mimi sio Muumini wake but imenipa shida moyoni kuona Mtumishi aliyeaminika Kama Gwajima akianguka kizembe namna hii kisa Mwanamke.......
Mbaya zaidi alikua anaji record mweyewe!

Video original kabisa haina u fake wowote, ipo clear na aliji shoot kwa Mapenzi yake!

Gwajima kawapa chakusema watesi wake. ....
Aombe tu Msamaha kwa Waumini wake, kusema Video fake haisaidii kuondoa ukweli... .!

Kama umeiona ile Video unawezaje kupata nguvu kuja kumtetea Gwajima hapa? Labda kama umelipwa....!
Original video ilirekodiwa Alhamisi tarehe 15/11/2018 saa 2:49 usiku.
Subirini tu ukweli mtaujuwa
 
MNA kazi ya kumsafisha

Ila ndio too late

Tulishawaonya humu kuhusu hawa matapeli na ulokole mkawa hamsikii ,
 
Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.

Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
We mtumishi ngoja na zile za ki amber rutty style zivuje ndo utaongea frxh, yaan watu wanagongana kanisani afu bado mnatetea
 
Back
Top Bottom