hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Haha
Unajitoa ufamhamu eh? Mzee ameanguka kizembe mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajitoa ufamhamu eh? Mzee ameanguka kizembe mno
Shetwan alimpitiaKwa kile kideo tumuache tu ajieleze mwenyewe au labda akae kimya tu akiamua ni sawa tu.
Jumapili ijayo macho na masikio yote kwake..
HahaAskofu kapiga Style moja tuu....
Ndio malalamiko yetu...
Achana na huyu msukuleYule anaekula kifo cha mende sio yeye
Ukiwa na maadui wa aina alionao Gwajima haiwezekani ukose kashfa. Watazitengeneza hata kwa ghrama ya uhai wa binadamu mpaka wafikie lengo lao. Nitakuwa wa mwisho kuamini ujinga huu!!!!!
Yule anaekula kifo cha mende sio yeye
Tumia software iitwayo REALITY DEFENDER utatambua uongo na ukweliNgoma real hile
Hahaa
Tumia software iitwayo REALITY DEFENDER halafu urudi kuandika upya hapaHahahaaaa....umeona eehhh
Wanatetea uovu nyau hawa
yule ni Gwajima kweli?Hahahaaaa....umeona eehhh
Wanatetea uovu nyau hawa
Haha I think so ..aiseSijui amepoteza simu.[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
.au simu iliibiwa kiintelijensia Jana Wakati ana hug na bashtii pale kwa kakobe
Huyo ni msukule wa gwajima achana naeWewe yule ni gwajimaaaa