Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Mkuu tukishaiangalia hii tuwekee na ile mpaka akasema eti yeye hana mkono wa Baunsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tukishaiangalia hii tuwekee na ile mpaka akasema eti yeye hana mkono wa Baunsa
Angekua hoi si angekaa sasa badala ya kusimama??
mzinzi mwenzio uyoChunga lugha chafu nitakuchukulia hatua
Kiboko ya mwanamke mwenye mkeView attachment 1568825 ahahha gwajima akili kubwa kiboko ya yule Bibi anayeishi kihuni
Walioitenegeneza kashfa ipi??Pamoja na kumchafua lakini haisadii Gwajima hazuiliki!
Walioitengeneza ile kashifa wameshaona kuwa Gwajima hazuiliki.
Mkuu tukishaiangalia hii tuwekee na ile mpaka akasema eti yeye hana mkono wa Baunsa
Wewe ndumi la kuwili post moja umemnanga '.....eti wamuangalie vizuri inaonekana ......' hapa unamsifiaKawe hatutaki tena matusi ya yule bibi
Kashfa na mengine hizo n personal issues kila mtu ana mapungufu..kawe tunaenda na ngwajima ..ikiwezekana mtu awe na kilema na awe tuKama ni kashifa hata bidada mbona amekuwa akihusishwa na Lesbians related issues?!
Kila mtu analake cha maana tunataka mabadiliko na Gwajima hazuiliki!
upuuzi mtupu,watu gani sasa hawaView attachment 1568765View attachment 1568766View attachment 1568768View attachment 1568770View attachment 1568771
Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.
Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.
Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika
Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima
WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo
Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Walioitenegeneza kashfa ipi??
ILa ya ngono ya kumla muumini wake??
kuna nini sasa hapa mbona ni moto wakuotea karibuView attachment 1568765View attachment 1568766View attachment 1568768View attachment 1568770View attachment 1568771
Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.
Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.
Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika
Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima
WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo
Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Asante mkuu kwa ushahidi mujarabu kabisa! Aibu ya LumumbaMm nipo hapa ndio watu alionanaoView attachment 1568790
Halima sio saizi ya Gwajima. Gwajima saizi yake ni BIA YETUUtaumia roho jimbo inarudi nyumbani
Ccm inapendwa na watu wahovyoo km wewe, siku ya pili unahangaika na picha moja😂😂, inaonyesha kiasi gani IQ yako ni ndogo huwezi kuwaza makubwa.Hali mbaya View attachment 1568844
We ni bingwa wa kutunza picha ,Hadi za 2010 unazo!