Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

Sema gwanji simuelewi, yeye kila kitu atafanya kwa hela yake, hawa sio wale baadae msipomchagua ana dai vitu vyake?
 
Mimi kama mfuasi wa chadema nikiona picha hizi moyo unauma sana ,maana kwa idadi ya watu sidhani hata kama mgombea wetu lissu alifikisha nusu ya mahudhurio ya watu waliohudhuria kwa mheshimiwa Gwajima.
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Mmetaga mapema,fuso zimebeba waumini plus wakulipwa kwa kutwa,ccm mtatema moto kawe
Screenshot_20200913-164711_Twitter.jpeg
 
Hujui Leo ni J2 kahamishia kanisa lake hapo, tupatie picha za mkutano wake siku ya jummane
 
Nasikia anasema WanaKawe wataenda (KwaMabeberu) 'Jimbo la Birmingham-USA' -(Ambalo Halijawahi kuwepo tangia Dunia imeumbwa)

Sera ya Mbunge Mtarajiwa hiyo.

'Muhashamu' angemsamehe tu huyu bwana,
Ze Dishi izkuletaring ze chengachengaz😋
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Hata huku Mbezi Beach hatumtaki huyo dada hajawahi kutupigania kwa lolote mwaka huu lazima tumfute kabisa jimbo la Kawe!
 
Chadema mwisho October, najua maneno magumu kuyasikia ila pokea tu
Hamkuweza kuifikisha mwisho kwa marisasi yote yale plus kamatakamata na kesi ya kutengeneza, leo ndo ifike mwisho kwa sanduku la kura? Naona unaota ndoto ya alinacha. Jifariji.
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Waislam tunalia na gwajima, misikiti yetu
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Jimbo la Kawe sasa linarudi Ccm rasmi.
 
Back
Top Bottom